Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Hakuna cha kupendelewa na vyombo vya habari bali nyota ya mzee huyu uko juu. Hata ukimuuliza Leo hii mtoto wakitanza huyu ni nani atakuambia Lowassa.

Kuna jambo moja wale wote walio muandika Lowassa vibaya kwa kumsingizia, wamevunjika moyo kwa kutambua kuwa kazi waliokuwa wakiifanya kwa kutumwa haijafanikiwa.

Pili wanadaganya watu kuwa Lowassa ananunua watu siyo kweli. Anamia pesa siyo kweli. Iliweze kuwafikia wapiga kura wengi lazima uwe na nyenzo.

Siasa pia ni mahesabu, unapokuwa kiongozi wa watu lazima ukubalike na wao. Na hapa ndipo wakupendao utawaona wakikuzungumzia kwa upendo walionao kwako.

Na vyombo vya habari vinafanya hivyo kwa utashi wao. Hapa hakuna upendeleo kile ambacho ni habari ndiyo watu wanapenda kusikia.

Karibu kuangalia blog zote haki Ngowi, mpekuzi, michuzi, Emanuel shilatu, jamii forum. Ukiunganisha jina Lowassa kwenye magazeti na pale lilipotajwa na Watanzania ukiunganisha utapata urefu Wa kutoka Tunduru mpaka Kahama. Hiyo ndiye Lowassa(enigma of Tanzania politics)
 
Fisadi Lowassa AKA mgawa rushwa mashuhuri katika nyumba za ibada kupitia "mchango wa marafiki zake" wa mabilioni si ajabu kishagawa rushwa ya nguvu mpaka kwenye vyombo vya habari ili wampigie debe la nguvu.

Mijitu mingine ina akili fupi hivi jamani kwa mafuriko yanayojitokeza kwa lowassa ni chombo gani cha habari kitaacha kutoa hizi habari?

Kila TV na magazetini wattaaka kutoa hizo habari maanabhaijawahi kutoka katika historia ya tanzania
 
........labda useme mafuriko ya rushwa ya huyu fisadi za mabilioni ya pesa za kifisadi.

Mijitu mingine ina akili fupi hivi jamani kwa mafuriko yanayojitokeza kwa lowassa ni chombo gani cha habari kitaacha kutoa hizi habari?

Kila TV na magazetini wattaaka kutoa hizo habari maanabhaijawahi kutoka katika historia ya tanzania
 
nimewafatilia sana ITV,wamekuwa wakimrusha sana lowassa au ndio mambo ya ukanda?mbona watia nia wako wengi sana ccm lakini chombo hicho kimekuwa kikirusha sana lowasa kuliko wagombea wengine.....tumesha jua ajenda yenu ninyi watu wa lowassa na ukaskizini.
tukusaidiaje???
 
Mnaosema lowassa aanatoa rushwa thibitisheni acheni upuuzi

Hamuwezi kuzuia alichokipanga Mungu mtaongea sana ila lowassa ndio chaguo La watanzania isipokua to watanzania kama wewe ambao akili zao zimechanganyika na pilipili
 
Napata tabu sana kama kweli watz tumeamua kumwingiza ikulu fisadi. Hivi kweli urais unauzwa kwamba una bei?

Usiogope mkuu huyo ni mshereheshaji wa mfalme tu. Yeye akusanye watu asikusanye ni sawa na bure. Atapigwa kwa point na Makongoro Nyerere muache apige ngumi nyingi lakini hazina afya.
 
Nachokiona wamebaki watu kupiga kelele baada ya kila mbinu kushindikana kumdhibiti, Lowassa. Ukianzisha jambo hasa kwenye siasa use smart vyakutosha usije ukaishiwa nguvu njiani.

Haya ndiyo inawatokea wana siasa wengi! Lowassa ni strategist mzuri, amepikwa kichama akawiva, ndiyo maana hizi kelele hazimnyimi uzingizi.

Kwake cha Muhimu ni malengo aliyejiwekea yatimie. Anachukiwa umasikini na anapigana mayo kwa vitendo.
 
Fisadi Lowassa AKA mgawa rushwa mashuhuri katika nyumba za ibada kupitia "mchango wa marafiki zake" wa mabilioni si ajabu kishagawa rushwa ya nguvu mpaka kwenye vyombo vya habari ili wampigie debe la nguvu.

hili wala sio la kujjuliza ukizingatia waandishi njaa wa TZ
 
Kati ya waliotangaza nia hadi sasa Lowassa amefunika kwa kujaza umati mkubwa wa watu kwenye mikutano yake. Wamejaa kwa kuwapa chochote au la ni siri yake! Ila kama kigezo ni umati mkubwa wa watu waliohudhuria kumsikiliza angekuwa tayari ameshapita lakini kwa kuwa maamuzi yapo kwenye kamati husika za CCM na hatimaye kura za wananchi ngoja tuone itakuwaje!
 
Lowassa sio kwamba anapendelewa bali ndio hali halisi ya matamanio ya watanzania wengi.
Unategemea nini kutoka kwenye magazeti na wakati so far,ndio kiongozi pekee anaeongoza kwenye opinion poll zote yaani tafiti zote ambazo zimetajwa na kutolewa yeye ndio anaeongoza. Definitely attention kubwa itakua juu yake compared to other candidates.
Wagombea wengi wako desperate and they cannot catch the moving train which is Lowassa kwahiyo wamekua wakilalamika based on jealous and concrete points.
 
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa


Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ilj ngia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke
angekuwa ali kiba ningepiga kura...mpaka sasa mfalme tunayemtambua ni ali kiba...domo akalee mimba
 
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
 
Back
Top Bottom