Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
Wanauza nchi eti njaa? Waende zao huko. Cha ajabu nikasikia chombo kimoja cha habari eti wanasiasa wajifunze kuacha mbwembwe wakati wa kutia nia, wakati huohuo wao wanasahau kuwa wanatakiwa kujifunza kwa kuacha kunajisi taaluma yao kwa kuandika habari kwa upendee. Tuwazomee wote wanaojifanya kumgeukia Magufuni, kwani hakuwepo tangu awali/ Muda huu ndio wanamwona? Waache unafiki na ukanjanja.njaa mbaya ndg yangu