Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

nimewafatilia sana ITV,wamekuwa wakimrusha sana lowassa au ndio mambo ya ukanda?mbona watia nia wako wengi sana ccm lakini chombo hicho kimekuwa kikirusha sana lowasa kuliko wagombea wengine.....tumesha jua ajenda yenu ninyi watu wa lowassa na ukaskizini.

Nimefuatilia sana TBC wamekuwa hawarushu kabisa habari za LOWASA
 
Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi fanya maamuzi sasa usiangalie mtu au chama sera na dira je inalikomboa taifa


Kapuku mimi
 
Vyombo vyenu vya habari vimekazana kuripoti habari za Lowasa na ukawa kana kwamba ccm haina mgombea wa uraisi. Kwa sasa hali ilivyofikia Lowasa hashikiki mnapoteza mda na propaganda chafu za kutaka kuichafua ukawa na Lowasa wake. Wananchi kwa sasa hawarudi nyuma hata muambie nini mawazo yao yako kwa Lowasa kwa sasa.
Mwacheni Lowasa afanye yake mtajipa shida bure
 
Watakuja kuvuta blanketi kumekucha ndo watazinduka wameliwa yamebaki manyoya
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Vyombo vyenu vya habari vimekazana kuripoti habari za Lowasa na ukawa kana kwamba ccm haina mgombea wa uraisi. Kwa sasa hali ilivyofikia Lowasa hashikiki mnapoteza mda na propaganda chafu za kutaka kuichafua ukawa na Lowasa wake. Wananchi kwa sasa hawarudi nyuma hata muambie nini mawazo yao yako kwa Lowasa kwa sasa.
Mwacheni Lowasa afanye yake mtajipa shida bure

Mm nilimshangaa sana nape...badala ya kujikita ktk nambo ya chama chake...anaongelea mambo ya ukawa...huyu mtu nadhani hazimtoshi...hata kama ni mambo ya siasa si busara wala heshima kumwita lowassa jamaa...sijui ndo kutokufunzwa utotoni huko au ndo makuzi gani hata sijui
 
Mm nilimshangaa sana nape...badala ya kujikita ktk nambo ya chama chake...anaongelea mambo ya ukawa...huyu mtu nadhani hazimtoshi...hata kama ni mambo ya siasa si busara wala heshima kumwita lowassa jamaa...sijui ndo kutokufunzwa utotoni huko au ndo makuzi gani hata sijui

Nape anafikiri matusi yataisaidia ccm kwa sasa wakati ndio yanazidisha hasira juu ya ccm
 
Nape amuuze mgombea wao wa CCM,Lowassa si mwana CCM tena,mwaka huu mtaweweseka sn,JK,Nape na RITz One mtaichemsha ccm mnywe supu,watz wa 2015 siyo wale wa 2005,na mkiiba kura itakula kwenu ndooooooorobo
 
Msisikie yoyote yale juu ya mgombea huyu wa upinzani (lowasa) kwa sababu hizo zote ni kelele za chura xo haziwez kutuzuia cc kupata ushindi
 
Imekuwa jambo la kawaida kwa TV nyingi nchini zikiongozwa na TBC1 kutorusha habari za UKAWA/LOWASSA kabisa. Na hata ITV iliyokuwa imebakia naona na yenyewe ishanunuliwa tayari. Hapa kilichobaki ni kujitaarifu/kujihabarisha wenyewe kwa whatsapp, facebook, youtube, instagram, twitter, jf, sms, calls n.k.... kitaeleweka tu
 
tuanzishe UKAWA TELEVISION (UTV) na iwe inapatikana kwenye ving'amuzi vyote kama vile Dstv, Startimes, Ting, Azam, Continental, Zuku, etc. iwe inapatikana vijijini kote. iwe inarusha habari za ukawa/lowasa 24hrs. na tukichukua nchi radio uhuru, gazeti la uhuru na tbc zifutwe kabisa.
 
Jamani habari zenu wakuu!
Ndugu Lowasa wa UKAWA hajazindua kampeni zake, tofauti na magufuli wa CCM. Lakini cha kushangaza pamoja na nguvu kubwa CCM waliotumia kwenye uzinduzi wa kampeni zao, mgombea wao hauziki kabisa.

1. Jamiiforums, facebook , twitter , instagram etc. Habari ni Lowasa na boda boda, mama ntilie, sokoni, vichochoroni na kadharika.

2. Magufuri yupo Katavi lakini cha kushangaza hana publicity kabisa. Ni kama vile amesahaulika. Hata wana CCM wenzake wamegeuka na kuwa waenezi wa Lowasa.

3. Kila jambo afanyalo Lowasa ndio habari. Lowasa akikohoa nchi inasimama. Pamoja na kwamba bado hajawa rais wa nchi ila kwa hali ilivyo ni kama ameshakuwa rais.

My take.
Huyu mtu ni mpango wa Mungu aisee. Mbona anapendwa hivi?? Hivi nyie CCM hamjiulizi, hatumii nguvu yoyote lakini ni sheeeeeeda!
 

Attachments

  • 1440512187636.jpg
    1440512187636.jpg
    88.1 KB · Views: 249
Shirika la umma TBC liwe mfano kwanza kuwa fair kwenye habari zake
 
Hata wauza magazeti wanataka habari za Lowassa, maana habari za Magufuli, Samia na CCM haziuzi kabisa.
 
Jamani habari zenu wakuu!
Ndugu Lowasa wa UKAWA hajazindua kampeni zake, tofauti na magufuli wa CCM. Lakini cha kushangaza pamoja na nguvu kubwa CCM waliotumia kwenye uzinduzi wa kampeni zao, mgombea wao hauziki kabisa.

1. Jamiiforums, facebook , twitter , instagram etc. Habari ni Lowasa na boda boda, mama ntilie, sokoni, vichochoroni na kadharika.

2. Magufuri yupo Katavi lakini cha kushangaza hana publicity kabisa. Ni kama vile amesahaulika. Hata wana CCM wenzake wamegeuka na kuwa waenezi wa Lowasa.

3. Kila jambo afanyalo Lowasa ndio habari. Lowasa akikohoa nchi inasimama. Pamoja na kwamba bado hajawa rais wa nchi ila kwa hali ilivyo ni kama ameshakuwa rais.

My take.
Huyu mtu ni mpango wa Mungu aisee. Mbona anapendwa hivi?? Hivi nyie CCM hamjiulizi, hatumii nguvu yoyote lakini ni sheeeeeeda!

Lowassa ana nyota yake flani hivi.
Ujasiri wa kuhama CCM kwa style hii unavutia na kuhamasisha.
Unaonyesha ukithubutu unaweza afu unaleta udadisi wa "what next?"
Atajitofautishaje?
Au kimjini kajivuaje gamba?
 
Kila siku hua naangalia magazeti ya siku nilichogundua japo anabaniwa kwenye televisheni zetu lakini jamaa inaonekana bila yeye magazeti hayauziki iwe ni kwa kuweka picha au mikutano anayofanya iwe ni kwa kumponda au kumwita fisadi ili mradi kwenye gazeti yupo jamaa yangu magufuli kwenye magazeti naona maandishi tu labda gazeti la uhuru ndio linaweka picha ila wanapata hasara kwa kua siku hiyo gazeti haliuziki sasa hivi nao ni kumponda lowasa kwa kutumia nukuu za wana ccm na kwa mtindo huo wanapiga hela ama kweli lowasa ni habari ya tanzania
 
jana nilipita kariakoo, kulikua kuna team inabandika mabango ya lowassa, cha kushangaza watu wote waliacha shughuli zao wakaanza kushangilia mabango yenye picha za lowass na wengine kuorodhesha matatizo yao kana kwamba wanaongea na lowassa kumbe ni picha tu
 
Back
Top Bottom