Nani mwadilifu ndani ya ukawa?
Ivi kitatokea nini lowassa asipokuwa rais na nini mtafanya nyie mnaosema lowassa lazima ashinde
Kwasababu haijaandkwa sehem kua ni lazima awe rais wa Tanzania
Nauliza ni nin mtafanya make inabidi mjiandae kwa pande zote pande ya kupata na ya kukosa je ikiangukia kukosa mtafanyajeee??
Membe kahangaika weee hadi alienda Misitu ya Amazoni kusaka waganga ili cc wampitishe sasa ngoja tuone kama uchawi wa membe utafanya kazi.
CCM yenu na nani hiyo ambayo mnampenda Lowassa?Mufindi mnaogopa nini akiwa Rais huyu ndg? Wacha propaganda nyeusi hapa....ni nani zaidi ya Edward Lowassa ndani ya CCM yetu? hebu tuwe wakweli tuweke mipango binafsi kando
Hebu tufikirie Baraza la Mawaziri la ENL
- Waziri Mkuu Prof Juma Kapuya
- Makamu wa Rais Amani Abeid karume Jnr
- Waziri wa Sheria na Katiba Andrew Chenge
- Waziri wa Nishati na Madini William Ngereja
- Waziri wa maliasili na Utalii Mgana Msindai
- Waziri Mawasiliano na Uchukuzi Peter Serukamba
- Waziri wa Jinsia na watoto Beatrice Shelukindo
- Bunge Sera na Uratibu Hamis Mgeja
- ......................
Hebu Watanzania tuwe serious kwa safu hii mnatagemea kitu chochote kipya?!
Be The Juror yourself
Eti itatokea fisi naye apewe Bucha kulinda?IQ ya Lowasa iko juu sana , atafanya kazi ktk muda wake atazuia na kuchukua hatua kali kwa ufisadi na wizi ambao utatokea ktk muda wake, kamwe hawezi kufanya kazi ktk vipindi vya watangulizi wake.
Hakuna sababu ya kuhangaika na wapinzani kwa sasa wale ni weupe sana dawa yao ndogo, ni CCM kuja na mgombea anayeuzika siyo Lowassa ambaye upinzani wanaomba CCM wafanye makosa ili kwao iwe rahisi wakati wa kampeniNdo atapitishwa na itakula kwenu.
Sasa siasa imehama kutoka CCM vs Upinzani imekuwa CCM VS LOWASA VS UPINZANI
Nape Nnauye anatamani uraiya pacha.
Well said mkuu, mimi sijui kinacho watisha ni nini hasa? Maanake stori nzima imejaa woga tu na inaonekana wazi wazi imetungwa tu!!!!!