Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,024
Ina maana huko ukawa mgombea urais hana jina? Wewe unasema VOTE FOR UKAWA, ina maana hata akigombea Lipumba tuVOTE FOR UKAWA?NDANI ya ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi wote ni mafisadi .
VOTE FOR UKAWA.