Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
"Jana Jumatatu, Kamati ya Maadili ya chama hicho iliyodai ilikuwa na faili la Lowassa na watuhumiwa wengine sita, imesema kuwa mwanasiasa huyo hana tena hatia na kwamba adhabu aliyopewa tayari imemalizika" mi nauliza hiyo kamati inaundwa na akina nani pale CCM ambao wana maadili?