Lowassa ni fisadi anaenunua urais, haieleweki anaenda ikulu kufanya nn huyu mtu
Hakuna mwana CCM hasiye tumia pesa kupata utawala,kwa hiyo Lowassa anafanya jambo la kawaida sawa na wagombea wenzake.
Lowassa ni fisadi anaenunua urais, haieleweki anaenda ikulu kufanya nn huyu mtu
hivi mwaka huu kwa nini hawataki mafisadi wagombee? wameshtuka nini? mbona miaka yote mafisadi yenye pesa za kuhonga ndo yanayoshinda kupitia chama? mwaka huu kunani kwani? na jee ni mafisadi wote watazuiwa au ni baadhi tu na baadhi wanaachiwa? Kama mafisadi wengine wanahonga mihela na wanachaguliwa kwa nini iwe kwa wengine hapana? waacheni mafisadi nayo yagombee, ni haki yao.
Wafuasi wa Lowassa wamejitokeza na wanatoa hoja si katka magazeti,redio na kwingineko,sasa mtu unatumia muda mrefu kumsema Lowassa lakini hujitokezi KUMJENGA yule unaemtaka! Lowassa hafai sema yule anaefaa na kwanini anastahili kukabidhiwa nchi aiongoze! Wengi mnaodhani mnamchafua Lowassa mimi naona kama ndo mnazidi kumjenga! Lakini mkumbuke lowassa nae ana mazuri yake! simtetei lkn ndio ukweli.!
Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete, Salma Kikwete, Bernard Membe, George Madafu, Jack Zoka na Othuman Rashid
Kwanza hawezi sababu mwiz hawezi kumfunga mwiz. pili hata kama angeshukiwa na upako mtakatifu akageuka na akaamua kuwashughulikia wezi bado hatoweza sababu mfumo wa ccm hautamruhusu. madhaifu ya ccm ni ya kimfumo si ya mtu mmojammoja. hata uweke malaika pale ccm hawezi kuleta lolote jipya katika nchi hii zaidi ya kujinufaisha yeye na marafiki wake wachache. Kinachotakiwa ni total ovehaul ya mfumo wote wa kifisadi wa chama. wanasiasa wote wa ccm waondolewa kwenye mfumo wabaki watendaji tu na tuingize na watendaji wapya wenye damu na fikra za kimaendeleo na kimapindiz....Mmeanza woaga. Mlipokua mnaiba hamkujua ipo siku tutapata Rais makini. Lowasa ukiwa Rais funga hawa wezi navfamikia zao firisi. Tunataka tanzania yenye matumaini mapya sio hawa wezi
hata Makonda MkuuNape Nnauye anatamani uraiya pacha.
Katiba hairuhusu rais mstaafu kushtakiwa kwa lolote alilotenda akiwa madarakani!
Jamaa kaisha anza kua soft ka ma "TP" toka juzi namfatilia katika matamko na maongezi yake kuhusu "chama" unaona kabisa mihemuko inaenda inaisha.
Sasa hilo baraza la mawaziri amepanga Lowassa au ni wewe umepanga kwa mtazamo wako ! kwani lazima uandike na kupost?
Mkuu, tumia maneno yaliyo sawa. Ukitaja jina Lowasa, taja na jina la huyo atakayeshindana nae. Ukitaja CCM ni sawa ukitumia jina la UKAWA kusemea upande wa pili.Lowasa hana sifa za kuwa raisi siyo mwadilifu .
VOTE FOR UKAWA.
Wazalendolowasa wakikutoaa ccm njoo act wazarendo
NDANI ya ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi wote ni mafisadi .Mkuu, tumia maneno yaliyo sawa. Ukitaja jina Lowasa, taja na jina la huyo atakayeshindana nae. Ukitaja CCM ni sawa ukitumia jina la UKAWA kusemea upande wa pili.
Siyo sawa kusema Lowasa anapambana na Ukawa. Sema CCM inapambana na ukawa. Au ukawa mgombea hana jina?