Lowassa amtisha Rais Kikwete

Lowassa amtisha Rais Kikwete

Matumaini ya kuwaibia Watanzania mali za umma km anavofanya huyo Lowassa wenu

Mufindi mnaogopa nini akiwa Rais huyu ndg? Wacha propaganda nyeusi hapa....ni nani zaidi ya Edward Lowassa ndani ya CCM yetu? hebu tuwe wakweli tuweke mipango binafsi kando
 
"""... Lowassa amezungukwa na watu wanaotiliwa shaka uadilifu wao""!!! Waandishi kama hawa ni hatari sana! Nani mwadilifu kwenye hizo kambi zingine? ... ESCROW??
 
Hivi CCM hii ni ya watoto au? Thread hii au makala hiyo ililenga kuwagombanisha Kikwete na Lowassa au? Maana haibebani na uana CCM wawili hao. Ni aibu sana leo tualishwa jibini hizi mbofu jf
 
Fisadi papa wa richmond na jambazi sugu lowasa hawezi kuwa rais
 
Anaenda kuwatumikia waTanzania wanaohitaji Tumaini Jipya.

Tunaianza Safari ya Matumaini.
Hebu tafadhali niambieni ni lini huyu Lowasa amewahi kukemea ufisadi?? Mimi huwa naangalia Bunge letu linavyoendesha.Yaani madudu yote yaliyopitishwa pale Bungeni kwake ni poa??.ni wapi aliwahi kumkemea walau Chenge na mafisadi wengine kwa ufisadi wao?? Au hata huko nyumbani kwake Monduli ni lini kawa mkali kwa hilo??? Kikwete mwenyewe alikubali Lowasa ajiudhuru kwa ufisadi wa Richmond…na miaka ya kalibuni Lowasa,Chenge na Rostam kwa mdomo wa huyo Kikwete tuliambiwa kuwa ni magamba makuu na inabidi wayavue!!!…Sasa huu usafi wa Lowasa uko wapi??? Yaani kumchagua Lowasa ni sawa na kutokuwa na gorikipa…magori yote ya kifisadi yataachwa yaingie…
Huyu Lowasa ni lini aliipinga katiba ya Chenge na mwenzake Sitta?? Utaniambiaje kuwa Lowasa atakuja kuwasikiliza wananchi wakati maoni ya wananchi hukutaka kuyatetea pale Bungeni??Hakuna hata siku moja alitoa hoja pale ktk bunge la katiba..sasa Lowasa utanipa hoja zipi za kukuamini kuwa yeye atakuwa mtu wa Watanzania??
Miaka 10 ya iliyopita imetosha …tunataka kwenda mbele
 
Ivi kitatokea nini lowassa asipokuwa rais na nini mtafanya nyie mnaosema lowassa lazima ashinde
Kwasababu haijaandkwa sehem kua ni lazima awe rais wa Tanzania
Nauliza ni nin mtafanya make inabidi mjiandae kwa pande zote pande ya kupata na ya kukosa je ikiangukia kukosa mtafanyajeee??
 
Taifa linaangamia kwa watu wake kukosa maarifa,kama ni kweli haya yanayotendeka DODOMA basi tutegemee anguko dhahili la upashaji habari uchaguzi huu ujao..Swali langu kwa wahariri ni wangapi wamebaki wazalendo?

Sent from iPhone Lowassa kutumia wahariri kumlaghai JK


Kwamba baada ya Lowassa kuaminishwa kwamba maneno ya JK NEC jana sio salama sana Kwa wagombea wote akiwamo Membe na Lowassa.

Kwamba Lowassa na wapambe wake wanaaminishwa kwamba wote watakuwa wamevunja kanuni za chama. Na kwamba JK atakuja kwenye nani anakubalila ndani na nje ya chama kwa kusoma magazeti na kwamba JK atakuwa anawachezea akili jamaa zake.

Anawachezesha BM na EL mpaka wanavurugikiwa mana wote hawamwamini lakn wanamjua. Kwa imani hiyo EL ameamua kuwaita Wahariri ili kuandaa mkakati wa kumtisha JK na kuaminisha umma kwamba Lowassa anakubalika sana. Wahariri wanakutana na Lowassa Dodoma Jumatatu hii ambapo tayari wameandaliwa maswali ya kuuliza ili wayasambaze na kupanga mbinu za kumsaidia. Wahariri wote watawezeshwa kwa staili ambayo wahariri wasio rafiki watatengwa bila kujijua .TUMEFIKIA HAPA KWA LENGO GANI KWA TAIFA?Nani wa kuliokoa Taifa?Okoeni Taifa Wahariri ndio mhimili wa pili wa imani na ubora wa habari ktk Taifa.LAZIMA NISEME
 
Sasa, kama Lowassa akiwa rais atawaweka mahabusu Kikwete, Ridhimani na Salma,mwache Lowassa mwenyewe aseme. Hii ni posting ya fitina na uzabizabina.
 
Umetumia haki yako ya kikatiba vizuri kuwa na uhuru wa kutoa maoni, na ndicho hicho atakachokifanya Mh. Lowasa kutoa maoni yake.
Tofauti ni kwamba coverage yake itakua kubwa wakati ya kwako inaishia hapa JF na sisi tunakuelimisha hapahapa.
Labda wewe ungevaa viatu vya Lowasa ungelisemea wapi suala lako ili liwafikie watanzania wengi ambao ndio unategemea wawe wapigakura wako
 
Hebu tafadhali niambieni ni lini huyu Lowasa amewahi kukemea ufisadi?? Mimi huwa naangalia Bunge letu linavyoendesha.Yaani madudu yote yaliyopitishwa pale Bungeni kwake ni poa??.ni wapi aliwahi kumkemea walau Chenge na mafisadi wengine kwa ufisadi wao?? Au hata huko nyumbani kwake Monduli ni lini kawa mkali kwa hilo??? Kikwete mwenyewe alikubali Lowasa ajiudhuru kwa ufisadi wa Richmond…na miaka ya kalibuni Lowasa,Chenge na Rostam kwa mdomo wa huyo Kikwete tuliambiwa kuwa ni magamba makuu na inabidi wayavue!!!…Sasa huu usafi wa Lowasa uko wapi??? Yaani kumchagua Lowasa ni sawa na kutokuwa na gorikipa…magori yote ya kifisadi yataachwa yaingie…
Huyu Lowasa ni lini aliipinga katiba ya Chenge na mwenzake Sitta?? Utaniambiaje kuwa Lowasa atakuja kuwasikiliza wananchi wakati maoni ya wananchi hukutaka kuyatetea pale Bungeni??Hakuna hata siku moja alitoa hoja pale ktk bunge la katiba..sasa Lowasa utanipa hoja zipi za kukuamini kuwa yeye atakuwa mtu wa Watanzania??
Miaka 10 ya iliyopita imetosha …tunataka kwenda mbele

Watu wenye IQ kubwa kama Lowasa hupima mafanikio kabla ya kufanya kitu , hii ndiyo sababu Lowasa hajaongea pale bungeni kwani hata angeongea asingebadili chochote. Na utaona kua hao unaowajua kua wanaongea sana hawakubadili chochote , ni sawa tu na wangekaa kimya!
Lowasa anajua kua ili kumaliza kabisa ufisadi lazima asimamie kutokea Ikulu , kwa kuchukua hatua madhubuti zinazohitajika.
BigUp Mh. Lowassa!
 
Sasa, kama Lowassa akiwa rais atawaweka mahabusu Kikwete, Ridhimani na Salma,mwache Lowassa mwenyewe aseme. Hii ni posting ya fitina na uzabizabina.

IQ ya Lowasa iko juu sana , atafanya kazi ktk muda wake atazuia na kuchukua hatua kali kwa ufisadi na wizi ambao utatokea ktk muda wake, kamwe hawezi kufanya kazi ktk vipindi vya watangulizi wake.
 
Watanzania tuko timamu...hatuwezi kumpa Lowassa ni heri tufungashe tuhamie Chadema
 
Back
Top Bottom