Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Kwa nini sisubiri wagombea Wa vyama vyote vya siasa alafu awaite kwenye mdahalo tujue nani anafaha kuliko hawa Wa ccm tu ambao wengi wako kwenye system ya serikali na hakuna cha maana walichofanya
 
Hivi mnajua lowassa kuongea na kueleweka hawezi
pale msemo wa usiponiheshimu mimi utaheshimu pesa zangu unachukua nafasi yake
Akishindwa kujieleza anaishia kupanick na kupandwa jazba.
 
Wewe vipi umekula kunde za wapi? Lowassa hahitaji kusema yanaonekana

Yanaonekana aliyoyatenda??? maana kama atakayoyatenda hatuwezi kuyaona hadi ayatende. Sisi tunataka atueleze yapi atatenda atakapokua rais ili tumtofautishe na wengine, hayo yote tutayajua katika kuongea/kusema kwake kwenye midaharo. There is no way atakwepa kusema, hata atakapokua rais kama akifanikiwa atatakiwa kusema tu!!!.
 
Lowassa hawezi kushiriki kwenye mdahalo wowote. Hana hoja.

Mkuu Lizaboni, tunatarajia CCM hamtawakataza wagombea wenu wa Urais hadi Ubunge mliowapitisha, hamtawazuia kushiriki midahalo kama ilivyokuwa 2010.

BTW Hakuna mgombea wa Urais yoyote kupitia CCM anaweza kukubali mdahalo na mgombea atayepitishwa na UKAWA simply kwa kuwa hakuna legacy wala cha kujivunia ambacho anaweza kukitetea na kikaeleweka.

Vv
 
Kwa kweli watanzania wenzangu tusikubali uchaguzi huu kufanyika bila midahalo na sio mmoja angalau minne kwa wagombea wa vyama vyote,wamezoea kutuburuza bila kuwapima kwa hoja.
 
Osha

edward ana haki.kabsa labda nongemuuliza ali uchumi upi anaongelea..uchumi alioshiriki kuiua atcl na saa wao

uchumi upi uchumi wa.kutaka kuturudishia.ndege mbovu.zilizorudishwa s.africa wakazipeleka ireland.kabla ya watu kudaka same reg ya hizo ndege alizodai.zinatoka ireland ndio zile zolizorudi.anataka tumwekee mkataba hapa...na ndicho kilichoiiua atcl kama siyonay3 yeye tugende edward
 
Last edited by a moderator:
Aksane mleta uzi kwa Taarifa.

Binafsi napenda kuona midahalo yenye tafakuri murua na jadidifu. Kupitia midahalo inatoa picha halisi ya kiongozi tarajiwa katika mambo mengi kwa muda mfupi mfano:


  1. Anauwezo wa kusikiliza swali (matatizo ya wananchi) kwa ufasaha, kulielewa na kutolea majawabu murua?
  2. Reaction-Je,anakuwaje akiletewa matatizo ya wananchi wake,
  3. Ufahamu wa mambo mengi kuelekea nafasi hiyo kubwa
  4. Mtazamo wake kibiafsi nje ya manifesto ya chama

Nisichokubaliana kwa sasa midahalo isiwe kwa mafungu, hii itafanya wasio na hoja wakajijengea hoja kupitia group la kwanza. Na kama kweli CEOrt wana ni njema kwa CCM wasubiri wote wachukue form then wafanye pamoja, kama dhamira yao njema kuisaidi CCM na mkwamo wa nani wampitishe bila manung'uniko upandewa pili. Pili baada ya kumaliza hiyo michujo vyamani ufanyike mdahalo mkubwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea wa URAISI kitaifa na kuendelea na mchakato majimboni.

Yakifanyika hayo kwa dhati tutapata viongozi wazuri
 
Lowasa kajaza tope tu kichani, akihudhuria mdahalo wa aiba yoyote nahama nchi
 
Lowasa kajaza tope tu kichwani, akihudhuria mdahalo wa aiba yoyote nahama nchi
 
Kuna watu wamelengwa wajiengue wenyewe. Huu Mpango umetulia.Ila Lowassa kukataa live haijakasawa .
 
hilo la Lowassa kuwa hawezi kushiriki mdahalo wowote lilishajulikana kwa wengi kabla hata ya kujitangaza nia yake ya kugombea
 
Huu sio muda wa mdahalo baina ya wana CCM ni muda wa kutafuta wadhamini, ni muda wa kutafuta kura za kutosha za vikao muhimu vya chama. Lowassa ana tambua thamani ya muda na muktadha uliopo
 
Hata cameron wa UK alikimbia mdahalo na bado akashinda kwa kishindo.
 
Huo ni mfano mmoja tu ambapo inafika mahali fedha haiwezi kukusaidia.

Unaweza kukusanya watu na kuwalipa ili waonekane wengi kwenye mkutano.
Unaweza kuwalipa watu ili "wakuombe" kugombea
Unaweza kuwanunua baadhi ya wandishi wa habari ili wakupambe
Unaweza kuwahonga wajumbe wa mkutano ili watimize matakwa yako.

Lakini kwenye mdahalo wa akina Mafuruki wenye pesa zao, tena za halali, kuwanunua hakupo!
Mbinu hizi zilizaa matunda mwaka 2005, miaka 10 baadae kuna gap kubwa sana kati ya uelewa wa Mtanzania wa 2005 na wa sasa, mfano wakati ule 99% hawakujua hata jf ni kitu gani leo zaidi ya 70% wako kwenye mitandao.
Masikini EL bado anataka tuimplement the same strategies as it was in 2005, kisa? ...mbinu hizi zilimsaidia rafiki yake!

 
Hapa sio Marekani na mdahalo kwa sasa hautasaidia kura za wajumbe wa NEC
Itatusaidia sisi wananchi kuwajua vizuri kabla ya kufanya maamuzi,kumbuka tumechelewa hata kuwafahamu sasa debates zitakuwa nzuri kurudishia muda waliokuwa wakijivuta vuta kujitokeza.Ukawa wajitokeze pia ili iwe mwendo wa ma debates tu mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom