mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
​kuna tatizo hapo.....kupeana mikono ilikuwa kuwaminisha umma kwamba tupo pamoja
He!Jipya hili mtwa mkulu. Ndio nalisikia kwa mara ya kwanza.
Lowassa njia nyeupe 2015
Huku baadhi ya magazeti ya Jumapili yakijitahidi kuweka picha ya Lowassa akisalimiana na Rais Kikwete katika chuo cha Jeshi Monduli, ukweli ni kwamba hali si shwari baina yao.
MBUNGE huyo wa Monduli alikataa kwenda kushiriki chakula cha mchana kwenye ukumbi wa Jenerali Kihwelu kambini hapo mara baada ya rais kuwatunuku Kamisheni maafisa 171 wa jeshi.
Tena kinyume na taratibu, Lowassa aliondoka jeshini hapo kabla ya Kikwete. Kawaida ni hadi Amiri mkuu aondoke ndipo viongozi wengine waruhusiwe.
which is nonsense particularly
- an earlier departure?
- skipping lunch?
- protocol abuse?
- or interpretation of the whole situation
you need to specifically point out the "nonsense" your referring to,
kitendo cha kumpoison kinaumiza saaana afanye hvyo. kisasi ni haki yake
​kuna tatizo hapo.....kupeana mikono ilikuwa kuwaminisha umma kwamba tupo pamoja
Duh! Hata Mie Aisee,ina Maana Lowasa Aliwahi Kuwekewa Sumu Kwa Mkakati Wa Jk?
Huku baadhi ya magazeti ya Jumapili yakijitahidi kuweka picha ya Lowassa akisalimiana na Rais Kikwete katika chuo cha Jeshi Monduli, ukweli ni kwamba hali si shwari baina yao.
MBUNGE huyo wa Monduli alikataa kwenda kushiriki chakula cha mchana kwenye ukumbi wa Jenerali Kihwelu kambini hapo mara baada ya rais kuwatunuku Kamisheni maafisa 171 wa jeshi.
Tena kinyume na taratibu, Lowassa aliondoka jeshini hapo kabla ya Kikwete. Kawaida ni hadi Amiri mkuu aondoke ndipo viongozi wengine waruhusiwe.
acheni kutunga stori za kijinga...kama hauna kitu cha kufanya si afadhali uende ukapige hata ramli?
Mbona sioni tatizo hapo, kwanza hawakumpa mgawo wa escrow!
Ningekuwa wewe ningeendaVipi mkuu kwanini hukuchukua nafasi ukaenda wewe!!
mpinga shetani usiupotoshe umma. Lowassa alitoa udhuru na pale walipokuwa wakisalimiana na mheshimiwa rais alikuwa akimuomba udhuru ili awahi ndege asafiri na kamati ya bunge. sasa mzushi wewe hebu tuambie kama alikuambia kuwa amegoma kula chakula na mheshimiwa rais
Hebu soma tena ulichokiandika Halafu ujiangalie kwenye kiooAcheni story za kupika, moja ya sifa kubwa za Muungwana huyu wa Monduli ni unyenyekevu na heshima kwa kila mtu seuze kwa Head of State!!!Mh
NGOYAI aliomba ushuru wa kuwahi safari ya kamati yake ya Ulinzi ya Bunge kwani hata kuja kwake tu kulionesha ustaarabu wake wa kuzaliwa.Hata Sita na Mwakyembe ukimaliza sifa moja wapo ya Mh
Lowassa basi hawawez kuibishia hii ya Uungwana na kujishusha mbele ya.hadhira. Wa Tz wanasubiri kupiga kura sio kampuni 2015 maana wanaemuhitaji wanaojua.