Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwatunuku kamisheni maafisa wanafunzi kundi la 04/29 bms na kundi la 70/22 regular chuo cha maafisa cha kijeshi, Monduli mkoani Arusha leo tarehe 18 Novemba, 2023.
View: https://www.youtube.com/live/21P0ou6g_Zg?si=sYJGE53fEu5KKbRP
Maafisa Wanafunzi wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA), Monduli Mkoani Arusha, wakiwa kwenye Mahafali ya nne, tarehe 18 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Maafisa wanafunzi Kundi la 04/20- Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 70/22 (Regular) mara baada ya Kuwatunuku Kamisheni katika Sherehe zilizofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA), Monduli, Mkoani Arusha.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Tanzania (CDF) Jenerali Jacob John Mkunda (kulia), akiteta jambo na Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli Brigedia Jenerali Jackson Jairos Mwaseba wakati wa Sherehe za Kutunuku Kamisheni Chuoni hapo Mkoani Arusha, tarehe 18 Novemba 2023.
View: https://www.youtube.com/live/21P0ou6g_Zg?si=sYJGE53fEu5KKbRP
Maafisa Wanafunzi wa Kundi la 04/ 20 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi ya Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA), Monduli Mkoani Arusha, wakiwa kwenye Mahafali ya nne, tarehe 18 Novemba 2023.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Tanzania (CDF) Jenerali Jacob John Mkunda (kulia), akiteta jambo na Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli Brigedia Jenerali Jackson Jairos Mwaseba wakati wa Sherehe za Kutunuku Kamisheni Chuoni hapo Mkoani Arusha, tarehe 18 Novemba 2023.