lyinga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 2,494
- 1,057
Mambo yamepamba moto sasa.
Tutashuhudia mengi.
Hawasemi tu lakini jamaa wa ccm maisha wanayoishi kwa sasa ni kama tom na jerry.
Mambo yamepamba moto sasa.
Tutashuhudia mengi.
Acheni story za kupika, moja ya sifa kubwa za Muungwana huyu wa Monduli ni unyenyekevu na heshima kwa kila mtu seuze kwa Head of State!!!Mh
NGOYAI aliomba ushuru wa kuwahi safari ya kamati yake ya Ulinzi ya Bunge kwani hata kuja kwake tu kulionesha ustaarabu wake wa kuzaliwa.Hata Sita na Mwakyembe ukimaliza sifa moja wapo ya Mh
Lowassa basi hawawez kuibishia hii ya Uungwana na kujishusha mbele ya.hadhira. Wa Tz wanasubiri kupiga kura sio kampuni 2015 maana wanaemuhitaji wanaojua.
Tuaambiwa Lowassa ndo katoka, huyo amiri jeshi mkuu kachukua hatua gani?Kweli humu kwenye JF kuna watu wa ajbu, hivi kweli hujui kuwa amiri jeshi na mkuu wa nchi ndiye anapaswa na ni lazima awe mtu wa kWANZA kutoka kwenye sherehe yoyote ya KITAIFA? Tuna kazi ya kuwaelimisha wenzetu. Mh Lowassa kutoka, kama kweli alitoka, kwenye sherehe hiyo, basi kuna kitu ........
Unless you were that close to overheard the convompinga shetani usiupotoshe umma. Lowassa alitoa udhuru na pale walipokuwa wakisalimiana na mheshimiwa rais alikuwa akimuomba udhuru ili awahi ndege asafiri na kamati ya bunge. sasa mzushi wewe hebu tuambie kama alikuambia kuwa amegoma kula chakula na mheshimiwa rais
Mbona sioni tatizo hapo, kwanza hawakumpa mgawo wa escrow!
Mkuu tuandae masikio na macho na Mungu atu afya njemaKaribu 2015 tumemiss comedy za siasa
^^
Amiri jeshi mkuu amejijengea dharau hata kwa marafiki zake ambao hawakukutana mitaani.Huku baadhi ya magazeti ya Jumapili yakijitahidi kuweka picha ya Lowassa akisalimiana na Rais Kikwete katika chuo cha Jeshi Monduli, ukweli ni kwamba hali si shwari baina yao.
MBUNGE huyo wa Monduli alikataa kwenda kushiriki chakula cha mchana kwenye ukumbi wa Jenerali Kihwelu kambini hapo mara baada ya rais kuwatunuku Kamisheni maafisa 171 wa jeshi.
Tena kinyume na taratibu, Lowassa aliondoka jeshini hapo kabla ya Kikwete. Kawaida ni hadi Amiri mkuu aondoke ndipo viongozi wengine waruhusiwe.
which is nonsense particularly
- an earlier departure?
- skipping lunch?
- protocol abuse?
- or interpretation of the whole situation
you need to specifically point out the "nonsense" your referring to,
Lowassa for 2015 with no doubt!! Hutaki kunya TIKITI
Hebu soma tena ulichokiandika Halafu ujiangalie kwenye kioo
Huku baadhi ya magazeti ya Jumapili yakijitahidi kuweka picha ya Lowassa akisalimiana na Rais Kikwete katika chuo cha Jeshi Monduli, ukweli ni kwamba hali si shwari baina yao.
MBUNGE huyo wa Monduli alikataa kwenda kushiriki chakula cha mchana kwenye ukumbi wa Jenerali Kihwelu kambini hapo mara baada ya rais kuwatunuku Kamisheni maafisa 171 wa jeshi.
Tena kinyume na taratibu, Lowassa aliondoka jeshini hapo kabla ya Kikwete. Kawaida ni hadi Amiri mkuu aondoke ndipo viongozi wengine waruhusiwe.
Huku baadhi ya magazeti ya Jumapili yakijitahidi kuweka picha ya Lowassa akisalimiana na Rais Kikwete katika chuo cha Jeshi Monduli, ukweli ni kwamba hali si shwari baina yao.
MBUNGE huyo wa Monduli alikataa kwenda kushiriki chakula cha mchana kwenye ukumbi wa Jenerali Kihwelu kambini hapo mara baada ya rais kuwatunuku Kamisheni maafisa 171 wa jeshi.
Tena kinyume na taratibu, Lowassa aliondoka jeshini hapo kabla ya Kikwete. Kawaida ni hadi Amiri mkuu aondoke ndipo viongozi wengine waruhusiwe.