Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

nimestaajabu nilipoiona picha ya leo iringa mjini, lowasa anaongea lakini kashikiria 'mimbali' kwa nguvu sana na mikono miwili. ni kama amejiegemeza kwayo.
muogope mola wako , katika orodha ya wanasiasa waliodondoka jukwaani lowasa yumo ?
 
27 Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale
ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu,
ili awaaibishe wenye hekima; na
aliyachagua yale ambayo ulimwengu
huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye
nguvu.
Soma 1 Wakorintho 1:27

Mimi mmoja wa wapumbavu tena Lofa na kura yangu ataipata Lowasa dhaifu awaaibishe Hao wenye nguvu
 
Hasira za nini sasa kama mgonjwa mzima si tutajua tu kwa kadri siku zinapoenda. Kuweni wapole au ndio ile ukweli unauma
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Ata asipo simama atumuitaji makufuli tutampa lowasa tuuu atupeleki propaganda au mabondia ikulu ....magufuli shule azina madawati anasema anatrngeneza FLY OVER na reli nchi nzima uu ni uongo wa waziwazi
 
Unaimanisha magufuli mmoja ukawa mtu Anne kamahivyo ni ok
 
COARTEM Msigwa kwa kupanic ndio mwenyewe anaongea mpaka mapovu yanamtoka.

kama povu linamtoka wakati wa kuilinda au kuitetea Iringa dhidi ya wakwepa kodi na wavurugaji wakubwa wa uchumi wa iringa au wakati wa kuisimamia na kuisulubu serikali, hilo mi nadhani halina shida kwani akishamaliza si anajifuta tu na mwisho wa siki wajibu wake kama kiongozi unakuwa umetimizwa. Akae kimya kwa faida ya nani hasa?
 
Kwenye kampani ata akiweka shart tu na tukaambia lowasa hataka kuja ila shart lake lipo tutaenda tu na 25/10 anapewa kura yangu awe ICU au nje ya nje au wapi atapewa kula tu .hivyo hatutaki kujua kasimama dakika ngapi ila subiri awe madarakan ndo mtajua pa kyjifichà
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Ukimnyoshea kidole mwenzako vinnne vinaelekea upande wako. Tusubiri jumamosi 10/24 kuona nani ataugua mara nyingi!
 
Huo ni ubaguzi wa kijinga. Yeye kama mchungaji kweli waumini wasiyoiunga mkono chadema wasuse kwenda kanisani kwake? Aache hiyo Tabia ya kishetani
 
wapumbavu na malofa ndio wameshachukia hivyo, matokeo yake tusubiri 25 octoba
 
Ata asipo simama atumuitaji makufuli tutampa lowasa tuuu atupeleki propaganda au mabondia ikulu ....magufuli shule azina madawati anasema anatrngeneza FLY OVER na reli nchi nzima uu ni uongo wa waziwazi

Lowassa anatuletea porojo za babu Sea na Masheik wa muamsho. Hivi kweli hiyo ni hoja kwa watu maskini??? Pumbavu kabisa, hatutaki rais ZEZETA kama Lowassa. #HapaKaziTu MAGUFULI ndio rais.
 
watanzania wanataka mabadiliko!!! mabadiliko!!! mabadiliko!!!!! klla mahali wimbo ni huo.
 
Back
Top Bottom