Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
Bahat mbya wanafurika lkn hawapati wanachokitaka, wanaishia kuambiwa hbr za babu seya na mengne yasiyo na faida na shida zetu za msingi watz
Lowassa anatuletea porojo za babu Sea na Masheik wa muamsho. Hivi kweli hiyo ni hoja kwa watu maskini??? Pumbavu kabisa, hatutaki rais ZEZETA kama Lowassa. #HapaKaziTu MAGUFULI ndio rais.
Kibaki aliapishwa kuwa rais kwenye wheel chair
Sunday, August 30, 2015
Lowassa AFUNIKA Iringa.....Maelfu Wahudhuria Mkutano wake, Awataka Wafuasi wake Wazilinde Kura Zisiibiwe
Mpekuzi blog
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema amechoshwa na manyanyaso wanayoendelea kuyapata wakulima hapa nchi kwa kukopwa mazao yao na kutozwa ushuru na serilkali bila ya wao kupata faida yoyote.
Lowassa alisema punde atakapochaguliwa kuongaza nchi kitu kikubwa atakachokifanya kuwasaidia wakulima ni kufuta ushuru wote wa mazao kuhakikisha wakulima wananufaika na jasho wanalolitoa wakati wa kilimo.
Lowasa ameyasema hayo leo wilayani Mufindi alipofanya mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa Shule ya Msingi Wambi, mjini Mafinga.
Lowassa alisema watu wamekuwa wakizungumza kuwa CCM ni wezi wa kura kwasababu ni wajanja sana katika kufanya michezo michafu katika chaguzi na maneno hayo si yakuyabeza wala kuyafumbia macho.
Mimi nataka kila mtu akihifazi vizuri kichinjio chake (kadi ya kupigia kura) na siku ya kupiga kura ikifika nawaomba wanawake na wanaume wajitokeze kwenda kupiga kura ila wakina baba nawaomba mkishapiga kura fanyeni kazi ya kuzilinda kura zenu alisema Lowassa
Katika mkutano huo, waziri wa zamani wa Elimu, Joseph Mungai alipanda jukwaani na kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mafinga Mjini kupitia Chadema, William Mungai ambaye ni mtoto wake.
Mungai aliwahi kuwa mbunge kwa miaka 35 kupitia CCM na aliweza kuteuliwa nafasi mbalimbali za uwaziri ikiwamo Wizara ya Kilimo, Mambo ya Ndani na Wizara ya Elimu.
Mungai alisema wananchi wa jimbo hilo wanatakiwa kumchagua William Mungai kwa sababu mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo hilo hakuweza kuongoza kama alivyofanya yeye.
Source: Lowassa AFUNIKA Iringa.....Maelfu Wahudhuria Mkutano wake, Awataka Wafuasi wake Wazilinde Kura Zisiibiwe | MPEKUZI
CCM waondoke kwa Amani watuachie taifa letu!
Hakuna namna tena!!!![/QUOT
Taifa la Wachagga?
Watanzania mmezoeshwa ngonjera kiasi msiposikia mtu anabwabwaja mnaumwa. Dkk 60 aongee kitu gani na wakati tumeshawaambia kuwa tutamchagua tu hata asingeongea sekunde 60.
Miaka na miaka wagombea wenu wanaongeaweeeeee, wakiingia madarakani wanabaki kulalamika badala ya kutenda. Safari hii tunachagua ambaye haongei. Mimi ningekuwa ndio yeye, jukwaani ningekuwa na maneno machache sana......Babu Seyaaaaaaaaa! Wananchi wakiitikia 'afunguliweeeeee' mkutano umeisha.
Hakuna aliyemsafi ndani ya ccm
View attachment 282214
Mkuu mafuriko ni kila mahali huwezi kutofautisha ya Jangwani na Iringa, subiri ya Mbeya ndio utahanganyikiwa zaidi.Hiyo picha sio ya Iringa, hapo ni Jangwani.
kwani mimi nilikuwepo Iringa???jibu swali, kasimama dakika ngapi?
ccm imekuwa kifo cha mende ndembe ndembe pale chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lazima ucheke mkuu!hahahaaa! Unanikumbusha babu duni.
27 Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale
ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu,
ili awaaibishe wenye hekima; na
aliyachagua yale ambayo ulimwengu
huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye
nguvu.
Soma 1 Wakorintho 1:27
Mimi mmoja wa wapumbavu tena Lofa na kura yangu ataipata Lowasa dhaifu awaaibishe Hao wenye nguvu
Magufuri anaahidi mambo mengi ambayo hata mtoto mdogo alie darasa la kwanza akisikia ataangua kicheko,siasa za ahadi hewa na kuhadaa wananchi zmepitwa na wakati,watanzania wa leo sio wa enzi zile za zidumu fikra za mwenyekiti....!!
samuel faraj basi kama hana nguvu mchokoze uone chamtema kuni. Alafu inaonekana hujawahi kula hela yake ndio maaana ime ku pain. Uliza mtu yeyote habari ya Salim Asas utapata.huyu jamaa ni mkombozi wa wana Iringa . Ila kwa punguani kama wewe hata baiskeli huna sikulaumu. Inaonekana una wivu sana. Hebu mwache kamanda wetu yule moto wa kuotea mbali
Bahat mbya wanafurika lkn hawapati wanachokitaka, wanaishia kuambiwa hbr za babu seya na mengne yasiyo na faida na shida zetu za msingi watz