Ngarenarok
Member
- Dec 3, 2013
- 26
- 7
Loyal maana yake nini? We need a critical mind not a loyal mind. Hata kama Mandela na ZZK hawafanani then do not use wrong inferences to justify you bullshit arguments.
Kwa mtazamo wangu kilicho Kati ya Lowasa na urais wa JMT ni afya yake mwenyewe.Lowasa ni sawa na mmea huu chini:
View attachment 128180
Mambo sio mchezo, its expected
Kibaya kabisa ni pesa inayotumika kwenye kampeni hizi chafu ni zetu wenyewe.. Tanesco wanatakiwa wamlipe huyu jamaa fidia kwa kukatisha mkataba na kampuni yake na Rostam.. Halafu mijitu inafurahia tu hapa na kupongeza..
Nani alisikilize Kazi hilo? Lambda wahuni km hao ambao pia ni wezi wenzake ila yeye lowasa anawazidi kwa kiwango tu. Wkt lowasa anawaibia waltz kwa kushirikiana na mapacha wake kiwete na rostam tsh. Million 152 Kila Usiku kupitia kampuni lao la mfukoni Richmond basi rafili zake aliowakusanya Leo walikamatwa na kutiwa Kila miaka kadhaa kwa kuiba kuku au vitumbua. Mbwembwe zote hizo za lowasa ni baada ya kuwaibia watz.......waltz km vile tumerogwa
Imedhihirika leo kwamba mh Edward Lowassa sio tu kwamba anapendwa bali pia ni tegemeo kubwa kwa watanzania wanyonge na wa hali ya chini.
Umati wa watu ambao haujawahi kuonekana pamoja na waendesha bodaboda wapatao elfu zaidi ya elfu ishiriki wamejumuika nae leo wakati alipokaribishwa kuwa mgeni rasmi wa chama chao.
Mkikosaga hoja ni kutukana tu,shauri lenu!!Lowassa atawapakata sna,babu yenu slaa magonjwa ya uzeeni yameshaanza kumwandama,hujaona udenda umeenza kumdondoka
Imedhihirika leo kwamba mh Edward Lowassa sio tu kwamba anapendwa bali pia ni tegemeo kubwa kwa watanzania wanyonge na wa hali ya chini.
Umati wa watu ambao haujawahi kuonekana pamoja na waendesha bodaboda wapatao elfu zaidi ya elfu ishiriki wamejumuika nae leo wakati alipokaribishwa kuwa mgeni rasmi wa chama chao.
tuwekee ushaidi uwache kulialia kama mwali,hamjaona huyo babu yenu anaiba wake za watu,Lowassa atawakamuwa chadema mpaka mnyoshe mikono juu
Mkiambiwa ukweli mnasema mnatukanwa.. Sasa wewe nikikuambia akili yako na hili jina la id yako vnaendana utasema tusi..! Ona ulichoandika sasa.. Kweli wewe ni fokonyoko..
Mkiambiwa ukweli mnasema mnatukanwa.. Sasa wewe nikikuambia akili yako na hili jina la id yako vnaendana utasema tusi..! Ona ulichoandika sasa.. Kweli wewe ni fokonyoko..
na ukicheza nakufokonyoa vilevile,hujaona hilo lako soli ya viatu
Ha ha ha.. Haya bwana fokonyoko.. Lowasa hana usafi wa kuwa rais wa Tanzania..
mtajiharshia sana mpaka 2015...lowasa ndiye rais 2015....lowasa ndye tumain pekee...membe..sta na wala ruzuku tupa kuleeee....lowasa ndio habar ya mjn na vjijin
sosoliso ukweli unaujuwa vizuri,sema tu kwasabu uko kazini,sikulaumu,lakin mkuu najuwa kura kwasabu ni siri uta vote kwa el,