Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Alaf wapinzan wao walikua pungufu kipind chote cha pili 😀😀😀wakubali tu bahat hakua yao
Yanii huko waliko sipati picha wanavosherehekea dah ushindi wa kishindo sana wakianza naule waliowatoa Senegal nahii ya leo kucheza pungufu na kushinda dakika ya mwisho kabisa!
 
Smart911 love Kweli weee mkareeeeeeee!
Wewe sio wa nchi hiii uko juuuu ni next level wengine watasubiri sanaa😁😁😁!

Hadi wanaume wenzio wanakujadili since morning umetishaaa babe 😘😘😘😘 💕💕💕💕💕
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana... Mambo yao waachie wenyewe...
 
I own PhD from Cuba. ✌️
Mambö yangu huishia public. Uliniudhi siku ile kunitukana. Kati ya wote walioluwa kwenye ile list ni wewe tu ulinitukana japo nilichokisema ulikielewa. Case closed.
You've turned the tables huh!!!
Siku nyingine ukipewa info, huko Cuba na vyeti vyako usiviweke uvunguni, tumia masaburi vizuri kuchanganua kama akili zimechoka.
Collect your data well before you start attacking me, sawa mzee?
Lakini pia, jifunze kwanza saikolojia ya anayekupa info, is he/she okay? Usikurupuke, binafsi sikujui na sihitaji kukujua as tayari nishafamu uwezo wako ni mdogo(kuchanganua issues) ila kama una jambo karibu pm.
 
Mr milk shake Rabbitus mimi km refa kombe lako🏆 naona mzee wa hovyo kakupa ushindi wa mezani, tuonane kwenye michuano ijayo.
Ahsante kwa kushiriki 🙏
 

Attachments

  • IMG_0667.jpeg
    IMG_0667.jpeg
    72.9 KB · Views: 5
You've turned the tables huh!!!
Siku nyingine ukipewa info, huko Cuba na vyeti vyako usiviweke uvunguni, tumia masaburi vizuri kuchanganua kama akili zimechoka.
Collect your data well before you start attacking me, sawa mzee?
Lakini pia, jifunze kwanza saikolojia ya anayekupa info, is he/she okay? Usikurupuke, binafsi sikujui na sihitaji kukujua as tayari nishafamu uwezo wako ni mdogo(kuchanganua issues) ila kama una jambo karibu pm.
Aiseee kwa hiyo kuamua kukupotezea kwako ushindi sio?.
Wewe ndie ulipaswa kujiuliza saikolojia ya huyo mtu uliemtaka iko sawa? We si ulijifanya Mshauri kumbe unasuburi december uvunje ukimya.

Wenye akili walinyamaza toka siku ile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom