Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Mpumbavu tu na asie jiamini ndie anakimbilia matusi kama unavyofanya.
Bwana Rabbitus,
Umekuwa unaniattack sana, kila ukiona comment yangu kuna kitu kama kinakuwasha hivi. Nimekukwepa tangu ulivyoanza, leo nilivyoona quote yako nikasema sitanyamaza.

Stop it young man. BTW I'm not 52yrs though I'm well above 40 but not yet 45. Seems you need to know about me, I'm no Isaac Newton. Halafu ni kapuku tu sina lolote.

Ukitaka kujua mengine karibu pm, sijaifunga..huwezi jua ukawa mwanangu sana na michongo ukanipa.
 
Unataka kuniambia Smart911 atamuoa Mahondaw?
Ndiyo...

Je Smart hana Mke?
Ni Mahondaw

Kuna mdau nilisoma mahala kuwa Mslahondaw ana watoto 2 je ni wa Smart911?
Ndiyo ni wa kwangu...

Mahondaw hana mume?
Ni Smart911

Ukinijibu haya humu sitaingia tena
Kila la kheri...


Cc: Mahondaw
Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy waletreeeeeee

Forever and alwaysssssssss💕💕💕💕💕💕
 
Bwana Rabbitus,
Umekuwa unaniattack sana, kila ukiona comment yangu kuna kitu kama kinakuwasha hivi. Nimekukwepa tangu ulivyoanza, leo nilivyoona quote yako nikasema sitanyamaza.

Stop it young man. BTW I'm not 52yrs though I'm well above 40 but not yet 45. Seems you need to know about me, I'm no Isaac Newton. Halafu ni kapuku tu sina lolote.

Ukitaka kujua mengine karibu pm, sijaifunga..huwezi jua ukawa mwanangu sana na michongo ukanipa.
Hatutaki 😂😂😂😂
Endeleeni kuna kitu nilikuwa nataka kujua, mmekaribia kukisema bado kidogo……tuendelee refa nipo
 
Bwana Rabbitus,
Umekuwa unaniattack sana, kila ukiona comment yangu kuna kitu kama kinakuwasha hivi. Nimekukwepa tangu ulivyoanza, leo nilivyoona quote yako nikasema sitanyamaza.

Stop it young man. BTW I'm not 52yrs though I'm well above 40 but not yet 45. Seems you need to know about me, I'm no Isaac Newton. Halafu ni kapuku tu sina lolote.

Ukitaka kujua mengine karibu pm, sijaifunga..huwezi jua ukawa mwanangu sana na michongo ukanipa.
I own PhD from Cuba. ✌️
Mambö yangu huishia public. Uliniudhi siku ile kunitukana. Kati ya wote waliokuwa kwenye ile list ni wewe tu ulinitukana japo nilichokisema ulikielewa. Case closed.
 
Jamaniii kidampa mwenye matashititi yake JF nshaingiaa, mbona kuna vita imeibukaa mpyaaa? Kwemaaaa?

Wambea wenza naomba ubuyu unifikie km ulivyo isisahaulike hata nukta wala mkato.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom