Team leader wao.Nani?? 🤣🤣🤣🤣
Team leader wao.Nani?? 🤣🤣🤣🤣
Yupi? Ntajie herufi ya mwanzo 🤣🤣🤣Team leader wao.
Bwana Rabbitus,Mpumbavu tu na asie jiamini ndie anakimbilia matusi kama unavyofanya.
Wapi Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy waletreeeeeee
Hatutaki 😂😂😂😂Bwana Rabbitus,
Umekuwa unaniattack sana, kila ukiona comment yangu kuna kitu kama kinakuwasha hivi. Nimekukwepa tangu ulivyoanza, leo nilivyoona quote yako nikasema sitanyamaza.
Stop it young man. BTW I'm not 52yrs though I'm well above 40 but not yet 45. Seems you need to know about me, I'm no Isaac Newton. Halafu ni kapuku tu sina lolote.
Ukitaka kujua mengine karibu pm, sijaifunga..huwezi jua ukawa mwanangu sana na michongo ukanipa.
Tubebeshane basi 🤣🤣🤣Na mimba juu watu wanabebeshana 😊
Ukiwa na issue uliza, kikiwa valid utaambiwa kama sio utaambiwa pia.Hatutaki 😂😂😂😂
Endeleeni kuna kitu nilikuwa nataka kujua, mmekaribia kukisema bado kidogo……tuendelee refa nipo
Weee endelea
Mi nipo kuchukua matukio bro
naomb ukapepee ndoa basiPole yao 🤣🤣🤣Mali viaz Sana walimilik mipra mwanzo mwisho wakashindwa kumaliza
Wamekuja kumaliziwa et
Mkuki kwa nguruwe dadeq Rabbitus wewe🤣🤣🤭🙌!Acheni kunafikia watu hapa JF.
Wapinzani mnywe sumu mwaka huu![]()




yaan nikitokaa tyuuh, uzi unachangamka woiiiih.I own PhD from Cuba. ✌️Bwana Rabbitus,
Umekuwa unaniattack sana, kila ukiona comment yangu kuna kitu kama kinakuwasha hivi. Nimekukwepa tangu ulivyoanza, leo nilivyoona quote yako nikasema sitanyamaza.
Stop it young man. BTW I'm not 52yrs though I'm well above 40 but not yet 45. Seems you need to know about me, I'm no Isaac Newton. Halafu ni kapuku tu sina lolote.
Ukitaka kujua mengine karibu pm, sijaifunga..huwezi jua ukawa mwanangu sana na michongo ukanipa.
Kwahiyo umempa ushindi wa mezani?? Umetupa silaha?? Au Tuahirishe pambano?? 😜Ukiwa na issue uliza, kikiwa valid utaambiwa kama sio utaambiwa pia.
Alaf wapinzan wao walikua pungufu kipind chote cha pili 😀😀😀wakubali tu bahat hakua yaoPole yao 🤣🤣🤣
Tulia mdogo angu mbona hivyo? 🤣🤣🤣aiiii sa 5 hii dadanaomb ukapepee ndoa basi