Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Yanii huko waliko sipati picha wanavosherehekea dah ushindi wa kishindo sana wakianza naule waliowatoa Senegal nahii ya leo kucheza pungufu na kushinda dakika ya mwisho kabisa!
Yaaaan mm nlikua nishakaa standby kutangaza matuta😀😀😀 DK ya 120 tu nashangaa naona Mpira unaeleza ndan😀😀....
Sema hawa wenyewe kila hatua Wanafika kimungumungu tu😀😀😀😀
 
Aiseee kwa hiyo kuamua kukupotezea kwako ushindi sio?.
Wewe ndie ulipaswa kujiuliza saikolojia ya huyo mtu uliemtaka iko sawa? We si ulijifanya Mshauri kumbe unasuburi december uvunje ukimya.

Wenye akili walinyamaza toka siku ile.
Kwa hiyo umenipotezea? I thought you geared up for me tonight. Nilikujibu ili uongee yote sasa kama umenipotezea basi nyamaza milele, sawa? Short of that I'll consider you as a femboy. I really don't want you to be categorised as a femboy.
 
We Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .

Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie

Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana

Inatosha Kwa Leo
Yeeesuuuu na mariaaa !!!

Kweli si kila asemae bwana bwana nyieeee!
 
We Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .

Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie

Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana

Inatosha Kwa Leo
kumekuchaaa hapaa, haya fungukeniii yoteee.
Sisi wengine ni watazamaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom