Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Smart911 love Kweli weee mkareeeeeeee!
Wewe sio wa nchi hiii uko juuuu ni next level wengine watasubiri sanaa😁😁😁!

Hadi wanaume wenzio wanakujadili since morning umetishaaa babe 😘😘😘😘 πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•
 
Huwezi ona ana kosa kwa sababu wewe upo hoi bin taabani kwenye mahaba kuntu...

Ikitokea nakutana na Smart911 nitamchana ile kishikaji namna ya kuhandle hizi mambo kisela...

Kama alikuwa anagonga wale wachuchu wote (kwa mwanaume inaruhusiwa πŸ˜‚)halafu hao wachuchu wakaja kukuletea zereu na mwamba hakuwamaindi, huoni hapo jamaa kazingua?

Hata hivyo kwa sasa kama mmeyamaliza it's well and good, lakini wahenga walisema mlamba asali halambi mara moja, mwishoni hujenga mzinga wa asali...

Halafu Smart911 mwamba ujue umekula matoke yangu halafu umekausha...
Tangu loni ANDUJE akashaurika?
Walisema wahenga
 
Huwezi ona ana kosa kwa sababu wewe upo hoi bin taabani kwenye mahaba kuntu...

Ikitokea nakutana na Smart911 nitamchana ile kishikaji namna ya kuhandle hizi mambo kisela...

Kama alikuwa anagonga wale wachuchu wote (kwa mwanaume inaruhusiwa πŸ˜‚)halafu hao wachuchu wakaja kukuletea zereu na mwamba hakuwamaindi, huoni hapo jamaa kazingua?

Hata hivyo kwa sasa kama mmeyamaliza it's well and good, lakini wahenga walisema mlamba asali halambi mara moja, mwishoni hujenga mzinga wa asali...

Halafu Smart911 mwamba ujue umekula matoke yangu halafu umekausha...
Tusubirie wale Sungusungu waliojificha waanzishe episode nyingine kali haha
 
Opinions are not fact mkuu upo sawa!
afu nishamwambia ataejilengesha azibue tu ndio uanaume huo! Mwanaume unakaaje kizombie zombie hata wanawake hawakugombanii ???🀠🀠🀠🀠!

Hahahah mwamba kumbe kashapewa ruksa ya kusuuza rungu atakavyo kama nawaona wale wachuchu wake wanavyokenua 😁 kwa hii go ahead, au umempa ruksa asuuze rungu kwa wengine wapya lakini sio wale kina nanilihuu....

Wee matoke yalikua yake wee ulidandia gari tu baada ya kusikia desemba nitakua Dar!

Matoke nitayafuata huko huko panapo majaliwa...
 
Hahahah mwamba kumbe kashapewa ruksa ya kusuuza rungu atakavyo kama nawaona wale wachuchu wake wanavyokenua 😁 kwa hii go ahead, au umempa ruksa asuuze rungu kwa wengine wapya lakini sio wale kina nanilihuu....



Matoke nitayafuata huko huko panapo majaliwa...
Ndiwooooo tena awakaze kisawasawa na alivojaaliwa plus mautundu sasa!!!

Jichanganye kama utanipata sasa nimekaa paleeπŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰!
 
Smart911 love Kweli weee mkareeeeeeee!
Wewe sio wa nchi hiii uko juuuu ni next level wengine watasubiri sanaa😁😁😁!

Hadi wanaume wenzio wanakujadili since morning umetishaaa babe 😘😘😘😘 πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•
Mkuu,
Kwamba kweli watu wanajali sana na kuona the man is "man enough"! Nyie mmeamua kuichangamsha mmu tu na sisi tunaenda na flow, binafsi tu nahisi its staged, hakuna uhalisia coz jamaa kama kweli ni man enough hawezi kula na kupiga kelele. Mnatuchangamsha sana...
 
Mkuu,
Kwamba kweli watu wanajali sana na kuona the man is "man enough"! Nyie mmeamua kuichangamsha mmu tu na sisi tunaenda na flow, binafsi tu nahisi its staged, hakuna uhalisia coz jamaa kama kweli ni man enough hawezi kula na kupiga kelele. Mnatuchangamsha sana...

Sasa naona mkubwa mwenzangu umegraduate elimu ya chuo kikuu cha MMU...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom