Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Pole sana acha ujinga. Unajifanya na busara public kumbe fisi tu kama fisi wengine.

Ukalipa na hotel na demu hakuja, so sad.
Nikalipa hadi hoteli?? Huko kwa group yako ndio uliambiwa hivyo? Waambie wakupe info za kweli. Sijawahi kujifanya nina busara hata siku moja, siku zote naandika nachofeel, ndio maana nikaitwa mzee wa hovyo...how would I be of wisdom kama niko wa hovyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom