Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,863
Kumekucha kumekuchaKumbe na umbea unao daah. 52 year?? Very stupid.
Nyie njoonii 😂😂😂😂
Kumekucha kumekuchaKumbe na umbea unao daah. 52 year?? Very stupid.
Hupendeki ndugu yangu.asante unaweza kufika wapi😂😂😂😂😅😅😅
Hahaha............. naona unainjoi hadithi za Babu na Mjukuu 😜Wacha weee 😂😂😂
🤠🤠🤠🤠😁😁! Uduguuu leo umekula kweli ???🤠🤠Kumekucha kumekucha
Nyie njoonii 😂😂😂😂
Mi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko kuna mwanadada anakujiwa na mkono mtupu ??Hahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi 😜
Uduguu nimekula nimeshiba ndii🤠🤠🤠🤠😁😁! Uduguuu leo umekula kweli ???🤠🤠
Kikubwa kwanza afike 😂😂😂Mi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko
Ndio afikeKikubwa kwanza afike 😂😂😂
Mnanipa raha 😂😂😂Hahaha............. naona unainjoi hadithi za Babu na Mjukuu 😜
Sasa babu jamani eh ukitaka nikudai pesa za matumizi siutazimia maana kwa siku natumia zaidi ya 300kHahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi 😜
Hahaha...........kweli Vijana wanafaidi 😜🙌Mi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko kuna mwanadada anakujiwa na mkono mtupu ??
Mie sinaga vijana na mzee mmoja tu na amesafiriHahaha...........kweli Vijana wanafaidi 😜🙌
Babu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri 😂😂😂😂Hahaha...........kweli Vijana wanafaidi 😜🙌
Huyo mbona na mi mtu na shosti yake hatuna baya..!!! Ila babu jitahidi uende kwa da mau 😂😂😂Leo Dada yenu Maua naona amefurahi ........ndiyo mjifunze namna ya kuishi naye 🤗
Babu umekimbia 😍Hahaha...........kweli Vijana wanafaidi 😜🙌
Mnataka Babu yenu nife, tangu mda mrefu nasemaga hizo kazi nzito siziwezi 🏃🏃🏃Babu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri 😂😂😂😂
Da maua kajipanga
Kasema atakupa slow motion 😂😂😂Mnataka Babu yenu nife, tangu mda mrefu nasemaga hizo kazi nzito siziwezi 🏃🏃🏃
Babu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Da maua kajipanga