Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,931
Kumekucha kumekuchaKumbe na umbea unao daah. 52 year?? Very stupid.
Nyie njoonii ππππ
Kumekucha kumekuchaKumbe na umbea unao daah. 52 year?? Very stupid.
Hupendeki ndugu yangu.asante unaweza kufika wapiπππππ π π
Hahaha............. naona unainjoi hadithi za Babu na Mjukuu πWacha weee πππ
π€ π€ π€ π€ ππ! Uduguuu leo umekula kweli ???π€ π€Kumekucha kumekucha
Nyie njoonii ππππ
Mi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko kuna mwanadada anakujiwa na mkono mtupu ??Hahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi π
Uduguu nimekula nimeshiba ndiiπ€ π€ π€ π€ ππ! Uduguuu leo umekula kweli ???π€ π€
Kikubwa kwanza afike πππMi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko
Ndio afikeKikubwa kwanza afike πππ
Mnanipa raha πππHahaha............. naona unainjoi hadithi za Babu na Mjukuu π
Sasa babu jamani eh ukitaka nikudai pesa za matumizi siutazimia maana kwa siku natumia zaidi ya 300kHahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi π
Hahaha...........kweli Vijana wanafaidi ππMi sio wahela hapana mie mtanga njoo tu tutajua huko huko kuna mwanadada anakujiwa na mkono mtupu ??
Mie sinaga vijana na mzee mmoja tu na amesafiriHahaha...........kweli Vijana wanafaidi ππ
Babu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri ππππHahaha...........kweli Vijana wanafaidi ππ
Huyo mbona na mi mtu na shosti yake hatuna baya..!!! Ila babu jitahidi uende kwa da mau πππLeo Dada yenu Maua naona amefurahi ........ndiyo mjifunze namna ya kuishi naye π€
Babu umekimbia πHahaha...........kweli Vijana wanafaidi ππ
Mnataka Babu yenu nife, tangu mda mrefu nasemaga hizo kazi nzito siziwezi πππBabu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri ππππ
Da maua kajipanga
Kasema atakupa slow motion πππMnataka Babu yenu nife, tangu mda mrefu nasemaga hizo kazi nzito siziwezi πππ
Babu usije kusingizia umeshikwa na mshipa wa ngiri
Da maua kajipanga

kwan wapinzani na da mau hawajamwaga nyogo tu uzi ufutwe ili uanzishwe mwingine
sijapendraaaaa walah vile sijapendraaa