Loving you Mahondaw

 

Ila inakata sana kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi utavimba humu jf na kujikakamua kuwarusha roho watu kumbe unajichafua kuaibika huku moyon huna raha kabisa na huwezi kuwa na raha
 
uduguuuu kuna watu kesho wata amkia mloganzira, wallah nakuambiaaa hiviii.

Kiharusi cha ghaflaa unakijua wee?

Unajua hiyo ni kunyanyaswa kihisia na mtu anakuwa anajifariji kwa uongo maana mwanaume anakuwa manipulator,kutoka kwa hayo mahusiano mpaka ukae ujitafakari haswa uwe na msimamo,maana unakuwa unajizibia riziki yako kwa mtu wa kweli humu wako wanaume wazuri tu na wametulia
 

Coca alimuambia ukweli lakin
ila aliaibika mi niliwaambia tu kuwa mnahangaika kuchamba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…