Love story (True story)

Love story (True story)

Duh.... Wapenda kugegedwa sa ukiwa make Wa mume anae safir safir so atagongewa na wahuni mpaka basi. ..
 
Sehemu ya 9

Tukawa tunapishana sana ,Mara Niko holiday au nimeenda kumuona mchumba wangu Lkn nilikua namwambia na anajua Niko kwenye mahusiono gani! sasa nikawa nafikiria kuachana na Jim kwa sababu ya vitu vingi na si kwa sababu ya huyo jamaa mwingine! sababu ilikua Jim anataka zaidi ya nafasi nilio mpa na mm nilikua siwezi mwanzo nilikua namuomba kila siku badilika utaishije bila Kazi achana na mambo vijiwe Lkn alikua haelekiei ,sasa nilivyo mpata jamaa mwingine nikawa naona sina sababu ya kumvumilia mbaya zaidi alikua ana taka kuzaa kwa nguvu bila kujua tutamleaje mtoto basi mahusiano yetu ya kawa yapo yapo tu ...sasa siku hiyo huyo wa dom akawa amekuja dar nikaenda kwake nakumbuka ilikua jumamosi wenyewe tulipanga tulale mpaka jumapili tujifungie tu! sasa asubuhi kuamkia jumapili naona mwenzangu kaamka ana mawazo akaenda chooni akajikuta anaumwa (GONO) oh my God ..akasikitika sana kwamba nimemuambikiza dah! Nikabaki mdogo yaani nilichoka kwa sababu hata nilikua sina habari wala sijawahi kufikiria Kama naweza kupata huo ugonjwa na zaidi kumpa mtu lol! Ikabidi nijieleza kwamba baada ya kurudi dar mm na Jim tulienda hospital tuakapa tiba na tukaendelea na mahusiono yetu ! Naomba msamaha kwa kuwa nimekuambikaza na mm nimeambukizwa pia ... Dah jamaa akaniambia yaani sikupata GONO nikiwa form 2 leo nimepata mtu mzima dah! Kwa kweli alisikitika kweli mm hata kumuangalia usoni nilishindwa! Nikamuomba nimpeleke hospital Lkn kwa yeye asingeweza kwenda hospital yoyote maana ni mtu maarufu ni aibu!! Akampigia cm doctor wake Lkn ilikua jumapili hakuweza kuja! Akawa ana hofu kwamba labda naweza nikawa na ukimwi pia nikamwambia sina na Niko tayari daktari wako atakapo kuja nipime na ukimwi pia ili upate uhakika na majibu yangu pokea wewe ! Nikawa namwambia vile kumtoa hofu pia nilikua tayari kupima! Doctor hakuja na jumapili yetu ikawa mbaya sana! Nikanyuka ikabidi niondoke sikuweza kukaa tena kwa aibu nilio pata ! Na aliniuliza Ina maana uko na mm na bado una muona Jim ! Nikamwambia ndio kwa sababu mm ndio mtu ambae Niko nae hapa bongo na mm na wewe hatuna mahusiano tuna onana tu juu kwa juu kwahiyo yeye ndio mtu wangu.... ITAENDELEA
 
Mara ya kwanza kilisema kilivyomwambia jim wazae akakataa sasa hivi jim anataka mtoto yani kanasahau kalivyotudanganya

Hapana hamkumuelewa alimwambia Jim akipata mimba itakuwaje? ( yaani mimba ya mwanaume mwingine) ndiyo Jim akamwambia nitakuacha, kwann upaye mimba na mtu mwingine wakati mimi ninauwezo wa kukupa mimba,
 
Hapana hamkumuelewa alimwambia Jim akipata mimba itakuwaje? ( yaani mimba ya mwanaume mwingine) ndiyo Jim akamwambia nitakuacha, kwann upaye mimba na mtu mwingine wakati mimi ninauwezo wa kukupa mimba,

Waiiii???aende zake huko na umalaya wake
 
Eheee!
Story hii ikiisha utupe na ile ya mr BILLICANAS na mzazi mwenzie yule mh mwenzake wa mjengoni.
 
If this is a verified story:

1. Bangi = uhuni

2. Ngono bila ridhaa = ubakaji.

3. Ngono zembe = kukosa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi.(recklesness)

Hawa ndio UKAWA wanataka tuwape IKULU.

Kwa staili hii mtaendelea kuishia hapo Bungeni milele.
We hebu nyamaza tukiweka habari za kina profesa kapuya na capten john komba machemli na wenzake mtakimbia jukwaa hili.
 
Back
Top Bottom