Nzuri tu nilitaka nikufahamishe kuwa nimebadilisha kabila sasa mimi ni mura.
Msukuma shem ila sasa rasmi ni mura kwahiyo usinitenge.
SUGU alitokana wapi na huyu malaya?
Hii inaonyesha Mbunge wa Mbeya mjini siyo muadilifu!
Mwanamke ana wanaume watatu kwa mkupuo mmoja hafai huyo!
Hii inadhihirisha SUGU upeo wake kwenye masuala ya kijamii ni mdogo sana!
Ndiyo wanawake wa kwenye facebook na badoo mkuu hujui ana deal na watu wangapi.
kweli uchaguzi umekaribia
lakini tukubali tukatae sugu mwakani atashinda tena ubunge
wajipange upya hii hekaya haingii akilini
Uvutaji Bangi! Ulevi wa Pombe! Uhuni , ufuska, umalaya! Havipendezi kufanywa na Mbunge!
Ashinde, Asishinde, Non of our business!
Ila unaona ni sawa kwa mwakilishi wa wananchi kuwa na tabia zilizotajwa hapo juu?
Mkuu hapo lawama kwa sugu inatoka wapi!? Huyu umemjua km ni Malaya baada ya yeye mwenyewe kusema,asingesema wala usingejua. Hata hivyo haya ni maelezo ya upande mmoja,hujasikia maelezo ya sugu lkn unamhukumu..! Hivi unajua matendo ya mkeo!? Siku akiamua kusema hadharani matendo anayofanya nje ya ndoa yenu si utaji-mkwawa wewe!?? Maoni ya wengi hapa yanaonyesha huyu mdada ni punguani ndo maana anaona fahari kujidhalilisha lkn wewe unamshutumu Sugu.!SUGU alitokana wapi na huyu malaya?
Hii inaonyesha Mbunge wa Mbeya mjini siyo muadilifu!
Mwanamke ana wanaume watatu kwa mkupuo mmoja hafai huyo!
Hii inadhihirisha SUGU upeo wake kwenye masuala ya kijamii ni mdogo sana!
Mkuu hapo lawama kwa sugu inatoka wapi!? Huyu umemjua km ni Malaya baada ya yeye mwenyewe kusema,asingesema wala usingejua. Hata hivyo haya ni maelezo ya upande mmoja,hujasikia maelezo ya sugu lkn unamhukumu..! Hivi unajua matendo ya mkeo!? Siku akiamua kusema hadharani matendo anayofanya nje ya ndoa yenu si utaji-mkwawa wewe!?? Maoni ya wengi hapa yanaonyesha huyu mdada ni punguani ndo maana anaona fahari kujidhalilisha lkn wewe unamshutumu Sugu.!
don't mix private life and public life ya sugu
kiongozi ni binadamu kama binadamu wengine no one is perfect
even though hii ni hekaya tu ingenishawishi kama ingekuwa imehaririwa na shigongo ningeiamini
Hawa sio Wabunge? Kama wao wakifafanya hivi SUGU anapata uhalali wa kufanya?ila vinapendezwa kufanywa na komba na kapuya