Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Anataka akukamate
Nmeshajua mtego wake huyu sikamatiki ng'oo
Anataka akukamate
Sasa na nilivyo kimbau mbau utanichapa wapi mwili wote umejaa mifupa.....lol
Unadhani ndo ntakuhurumia? Nachapa hiyohiyo mifupa
Nisamehe my wii utanifanya nishindwe kumuhudumia shemeji yako bureee
Muongo wewe?
Mume wake yuko wapi siku hizi?
Muongo wewe?
Nimekusamehe my wii mimi tena nnavyokupenda
Apia kama kweli wewe kimbau mbau.
Ni kweli nimekonda kunyonyesha sio mchezo ati nimebakia mifupa tu......lol
Honey Faith una rumbesa!!!!! hapana wakala wa mizani lazima ahakiki huu mzigoKweli umepungua kidogo Honey Faith
Honey Faith una rumbesa!!!!! hapana wakala wa mizani lazima ahakiki huu mzigo