Love story (True story)

Love story (True story)

Siyo mambo ya kisiasa akiri yake mbovu tu! Ana ile destuli ya kusema ukimwaga mboga nakanyaga ugari.

mkuu inaedelea? nasubiri umalizie kahadithi kazuri kweli kamapenzi. hahaha mwanamke amachumba, halau anajimmy wakutuliza genye na amezaa na sugu duuu kweli TUTAPOMA UKIMWI HAPA?
 
Siyo mambo ya kisiasa akiri yake mbovu tu! Ana ile destuli ya kusema ukimwaga mboga nakanyaga ugari.
Haya ya kumwaga ugali na yeye mboga, dada zetu wanayo sana!!! Ndo maana hata kufumaniana na kuita OFM ni yale yale. Hivi mtoto huyu si anamharibia maana hata Mhe. hawezi kuwa na hamu hata ya kuona damu yake. Tubadilike jamani, tuache kuwa wabinafsi maana katika hili sakata wanamuumiza mtoto ambaye walimtengeneza kwa raha zao.
 
Mwanamke mdomo waziii??unawezaje kuanika ufilauni wako kiasi hiki!!!na nyinyi kaka zetu mkomage kuokota wanawake hovyo wasiojielewa kama Huyu!!!maelezo yake tu anaonekana punguwani!!ndo wale kugombana na mpenzi wake kidogo tu anaenda barabarani kutoa siri zoote hadi za mwaka juzi loh!!!

Tupe mwendelezo basi msimuliaji,hapa nimejifunza si kila mwanamke anafaa kwa mahusiano!!!
 
mkuu inaedelea? nasubiri umalizie kahadithi kazuri kweli kamapenzi. hahaha mwanamke amachumba, halau anajimmy wakutuliza genye na amezaa na sugu duuu kweli TUTAPOMA UKIMWI HAPA?

Mkuu inaendelea hiii mpaka mtoto apatikane na sanabu za kuachana zijulikane maana anadai yeye ndiyeiemuacha sugu.
 
huyu bibie mh! anajiabisha tu jamani si akae kimya jamani! khaaa! le mburulaz
 
Sehemu ya 6

Akawa ana vuta na mm navuta wkt tuna vuta nikazima kabisa sikupata fahamu mpaka asubuhi yaani sielewi mpaka leo ile bangi ni bangi tu au ilikua na nini au labda kwa kuwa nilichanganya na ulevi sijui maana sina uzoefu...asubuhi nilivyo amka nikajikuta sijielewi nikawa nawaza majibu sipati nikaangalia chini nikakuta CONDOOM za kutosha Lkn ni kama zimefunguliwa tu hazija tumika,nikamuuliza mbona CONDOOM zinaoneka hazijatumika ? Akanijibu nilikua nimelewa sana nikawa namvua Nasema kwamba zina nichubua, nikaa kimya kwanza kwa muda nikawa na waza Kama ni kweli nilisema sikupata jibu maana nilikua sijielewi wkt wa kitendo kizima Lkn nikapata swali nikamuuliza , sawa mm nilikua nimelewa nikakataa JE ? Wewe ulikua hujalewa Kama mm kwa nini ulikibali ? Akaniambia kila akitaka kuvaa mimi na mkataza... Dah!(nilihisi amenisingizia) Kwa kweli haikuingia akilini kwa sababu kwanza sikuamini Kama nilisema kwa sababu ktk safari yangu ya maisha mm nimejichunga sana Lkn sikuweza kumlaumu kwa sababu tendo lilikua limeshatokea zaidi nilijilaumu mm kulewa kupita kiasi pia nili mlaumu cousin wangu kwa nini ktk hali Kama ile aliiniacha na mwanaume... Nilisikitika sana sana nilijiona nimejikosea sana JIBU nililopata nisubiri miezi mitatu ifike nikapime nipate uhakika wa afya yangu maisha yangu yaendelee! Akauniuliza Jimmy ni nani ? Ni kashtuka amemujuaje.. Na mm nikamwambia jimmy umemjuje ? Akasema wkt tunafanya sex ndio nilio kuwa na mtaja nilizani yeye ndio anae nipa mautamu hahahaaa kweli nilicheka sana sikuona aibu kwa sababu kwa mm yeye alikua mpita njia tu... Nika mwambia Jimmy ni kijana yuko dar natokaga nae na nimezoea kufanya nae sex .. na kawaida ya kufanya hivyo! Halafu nikamwambia kwa kuwa wewe umefanya sex na mm inabidi nikwambie kuwa wkt natoka dar nakuja huku alinipigia cm akaniambia ana maumivu wkt wa kukojoa na alipata ugonjwa wa zinaa sasa mm sijisikii Kama naumwa na sijui huo ugonjwa kaupataje... Nimemwambia hivyo kwa sababu Kama akipata huo ugonjwa ajue amepata wapi! Nae akapata mshtuko Lkn akashindwa kunilaumu maana na yeye alifanya sex bila CONDOOM kizembe kwa hiyo wote tukaa kimya... Akaniliza na UKIMWI je? Wkt huo na mm ndio swali liliopo kichwani.... ITAENDELEA

If this is a verified story:

1. Bangi = uhuni

2. Ngono bila ridhaa = ubakaji.

3. Ngono zembe = kukosa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi.(recklesness)

Hawa ndio UKAWA wanataka tuwape IKULU.

Kwa staili hii mtaendelea kuishia hapo Bungeni milele.
 
Sehemu ya 6

Akawa ana vuta na mm navuta wkt tuna vuta nikazima kabisa sikupata fahamu mpaka asubuhi yaani sielewi mpaka leo ile bangi ni bangi tu au ilikua na nini au labda kwa kuwa nilichanganya na ulevi sijui maana sina uzoefu...asubuhi nilivyo amka nikajikuta sijielewi nikawa nawaza majibu sipati nikaangalia chini nikakuta CONDOOM za kutosha Lkn ni kama zimefunguliwa tu hazija tumika,nikamuuliza mbona CONDOOM zinaoneka hazijatumika ? Akanijibu nilikua nimelewa sana nikawa namvua Nasema kwamba zina nichubua, nikaa kimya kwanza kwa muda nikawa na waza Kama ni kweli nilisema sikupata jibu maana nilikua sijielewi wkt wa kitendo kizima Lkn nikapata swali nikamuuliza , sawa mm nilikua nimelewa nikakataa JE ? Wewe ulikua hujalewa Kama mm kwa nini ulikibali ? Akaniambia kila akitaka kuvaa mimi na mkataza... Dah!(nilihisi amenisingizia) Kwa kweli haikuingia akilini kwa sababu kwanza sikuamini Kama nilisema kwa sababu ktk safari yangu ya maisha mm nimejichunga sana Lkn sikuweza kumlaumu kwa sababu tendo lilikua limeshatokea zaidi nilijilaumu mm kulewa kupita kiasi pia nili mlaumu cousin wangu kwa nini ktk hali Kama ile aliiniacha na mwanaume... Nilisikitika sana sana nilijiona nimejikosea sana JIBU nililopata nisubiri miezi mitatu ifike nikapime nipate uhakika wa afya yangu maisha yangu yaendelee! Akauniuliza Jimmy ni nani ? Ni kashtuka amemujuaje.. Na mm nikamwambia jimmy umemjuje ? Akasema wkt tunafanya sex ndio nilio kuwa na mtaja nilizani yeye ndio anae nipa mautamu hahahaaa kweli nilicheka sana sikuona aibu kwa sababu kwa mm yeye alikua mpita njia tu... Nika mwambia Jimmy ni kijana yuko dar natokaga nae na nimezoea kufanya nae sex .. na kawaida ya kufanya hivyo! Halafu nikamwambia kwa kuwa wewe umefanya sex na mm inabidi nikwambie kuwa wkt natoka dar nakuja huku alinipigia cm akaniambia ana maumivu wkt wa kukojoa na alipata ugonjwa wa zinaa sasa mm sijisikii Kama naumwa na sijui huo ugonjwa kaupataje... Nimemwambia hivyo kwa sababu Kama akipata huo ugonjwa ajue amepata wapi! Nae akapata mshtuko Lkn akashindwa kunilaumu maana na yeye alifanya sex bila CONDOOM kizembe kwa hiyo wote tukaa kimya... Akaniliza na UKIMWI je? Wkt huo na mm ndio swali liliopo kichwani.... ITAENDELEA

Ni sheedah,
Eheeeh!!!
 
Aahahahahhhahahh, huku watoke wapi wa hivyo, waarabu koko wetu wapo wamejichokea na hapa kayenze ndio mwisho wa reli, Karibu maembe

Yani hili lidada alioni aibu linavyojidhalilosha?Mptuuu kuwa na jike kama hili ni hasara tupu.Mwanamke sharti uwe na staha sio mdomo unatoa maneno machafu kama vyoo vya stendi
Khantwe Dinazarde nifah njooni muone mdada wa mujini.Sasa my dia ram kayenze yetu kuna watu kama hawa?
 
Last edited by a moderator:
Aahahahahhhahahh, huku watoke wapi wa hivyo, waarabu koko wetu wapo wamejichokea na hapa kayenze ndio mwisho wa reli, Karibu maembe

Na kweli waarabu wenu wa huko wamechoka.Basi kesho itabidi nije kukutembelea nijilie maembe
 
  • Thanks
Reactions: ram
Tumesema msije huku mtatuharibia story ya huyu mwanaharamu asiye na haya, Baba wa mtoto wako unamuanika kwenye mtandao ili iweje....
Nie wanasiasa bakini huko huko siasani


If this is a verified story:

1. Bangi = uhuni

2. Ngono bila ridhaa = ubakaji.

3. Ngono zembe = kukosa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi.(recklesness)

Hawa ndio UKAWA wanataka tuwape IKULU.

Kwa staili hii mtaendelea kuishia hapo Bungeni milele.
 
Tumesema msije huku mtatuharibia story ya huyu mwanaharamu asiye na haya, Baba wa mtoto wako unamuanika kwenye mtandao ili iweje....
Nie wanasiasa bakini huko huko siasani
samahani lakini nimeona hadithi imegusa interest za siasani, nikaona nitupie neno, weekend njema.
 
Nitakufungia na kwenye mfuko wa rambo uwapelekee na watoto, manake yanatuchafulia mazingira tu sasa

Duh!naona hiyo kesho haifiki itabidi nitembee na kisu kabisa nakua najisevia popote nitakapokuwa
 
Back
Top Bottom