Love story (True story)

Love story (True story)

Ndio hivyo kujisifia kuwa mtoto wa tanga mapenzi anayajua ili apate mabwana na kubana pua si ndio kufanya mabazaz wampende.Kuliko kumsikiliza huyo dada bora nijibiishe kutafuta mtoto......lol

Me hua najiulizaga kama kweli mapenz anayajua yule prezo vip angemuacha kuna yule msanii wa bongo nae vip angemwacha nikaja kusikia na btwelve mara sjui nani huyu sasa gk kaz kuwabemenda watoto wa watu me hua nachekaga na zile coment zake anazojibiwa kule fb na insta yaan hua nacheka napitiliza


Mwenzangu weh.....nikae namskiza diva kwa kweli labda nipo kwa ndugu au jiran kafungulia had huku niskie na hivo anavowabania pua si ndo kuwatia genye hao mabazazi lol dada yule anajida stress for what for who kumbe moyoni vinamsokonoa!!!
 
Yani we acha tu bibi yangu maana anatumia juhudi kubwa kutafuta mabwana na tatizo hajiheshimu maana akitembea na mtu tu baadae anaanza kumsema vibaya mara kafanya hivi mara vile ili tu kucreate public attention mamaafacebook
 
Last edited by a moderator:
Yani we acha tu bibi yangu maana anatumia juhudi kubwa kutafuta mabwana na tatizo hajiheshimu maana akitembea na mtu tu baadae anaanza kumsema vibaya mara kafanya hivi mara vile ili tu kucreate public attention mamaafacebook

Ndo alivo yule waswahili wana msemo wao mbwa ukimjua jina hakusumbui. Na mbwa huyo huyo ukimdekea usipoangalia utaingia nae kwenye nyumba ya ibada ndo alivyo mwenye anajitia hana habari wala hajali kuna siku akaweka pic insta hana kidoti watu walitiririka lol namrith binamu warumi kwa maubuyu me hua nikijiona leo siko powa lazima niingine kwa diva angalau nicheke mana najua statoka hivihivi na ameudhihirishia huu umma kua kichwan kwake kumejaa tope
 
Last edited by a moderator:
Sehemu ya 8.

Nilivyo fika nikaenda kwa jim nikamuuliza kuhusu ugonjwa ameupataje ? majibu haya kunirizisha mwisho wa siku ikabidi tuende hospital tukapa tiba wote wawili japo sikua na hakika Kama naumwa na kule dom jamaa alikua fresh hakuumwa kwa hiyo jim alijua mwenyewe alipo pata ugonjwa huo.. Kuanzia hapo nikawa nimepata uoga pia kuhusu yeye! Sasa siku moja ni kamuuliza jim ikitokea nimepata mimba itakuaje ?
Akanijibu ntakuacha 😳 Oh! Okay nikaa kimya kidogo
Akasema kwani mm sio mwanaume? Naweza kukupa mimba pia kwa nn sio mm awe mwingine? mm mwenyewe sina mtoto..
Nikawaza nawaza maisha yake,maisha yangu mmh! Kila nikiwaza jibu linakuja no! Hapana na sababu za kupata jibu hilo ni kwamba kijana alikua Hana kazi na sioni Kama mchapa Kazi na sioni Kama ana ndoto yaani kiufupi nikawa sioni Kama alikua ni mwenye muelekeo yaani yuko yuko tu simuelewi nikawa najifikiri tuta mleaje huyo mtoto na mm nilikua na ndoto za maisha ninayo taka kumpa mwanangu basi kila nikifika hapo nachoka kabisa nguvu ya kuzaa inaisha! Lkn tofauti na hayo kijana alikua mstaarabu sana , tabia nzuri na ana mapenzi, ana nisikiliza yaani ana sifa nyingi tu na zaidi alikua ana nipa raha kwenu kufanya mapenzi ( ILOVE SEX ) ... Lkn kitu kilicho kua kin niboa ni kwamba hafanyi kazi Sasa mm siwezi kuwa na mwanaume ambae hafanyi kazi Yaani nilikua naweza kutoka kwake asubuhi nikaenda kwenye mishe mishe town Lkn nikirud i na mkuta kalala labda hajaoga toka nilivyo muacha dah! Yaani Kama kuna kitu kina kera kwenye maisha yangu ni mwanaume mvivu na mchafu nachukia sana ! Nikawa namvumilia coz when it comes to sex 👌👌 ... na all that time jamaa wa Dodoma akawa ana nipigia cm wkt mwingine akija dar naenda kumuona sasa nikiwa na huyu tunaongelea mtoto ! Na sifa ninazo taka kwa mtu ninae taka kuzaa nae anazo! Kwanza ana muelekeo wa maisha,ana malengo, umri wake sahihi,ana Kazi nzuri na nikiongea nae naona vitu anavyo penda kuhusu ukuaji wa mtoto na mm napenda kwa hiyo maongezi yetu mengi ya kawa yana lingana! Lkn sasa hakua na time yaani naweza nikamuona miezi kazaa Mara moja yaani juu kwa juu tu na nikimuona leo labda mpaka miezi ipite
so tukawa hatuko karibu labda akiwa dar mm Niko nje ya nchi tukawa tunapishana.
Itaendelea......
 
Sehemu ya 8.

Nilivyo fika nikaenda kwa jim nikamuuliza kuhusu ugonjwa ameupataje ? majibu haya kunirizisha mwisho wa siku ikabidi tuende hospital tukapa tiba wote wawili japo sikua na hakika Kama naumwa na kule dom jamaa alikua fresh hakuumwa kwa hiyo jim alijua mwenyewe alipo pata ugonjwa huo.. Kuanzia hapo nikawa nimepata uoga pia kuhusu yeye! Sasa siku moja ni kamuuliza jim ikitokea nimepata mimba itakuaje ?
Akanijibu ntakuacha 😳 Oh! Okay nikaa kimya kidogo
Akasema kwani mm sio mwanaume? Naweza kukupa mimba pia kwa nn sio mm awe mwingine? mm mwenyewe sina mtoto..
Nikawaza nawaza maisha yake,maisha yangu mmh! Kila nikiwaza jibu linakuja no! Hapana na sababu za kupata jibu hilo ni kwamba kijana alikua Hana kazi na sioni Kama mchapa Kazi na sioni Kama ana ndoto yaani kiufupi nikawa sioni Kama alikua ni mwenye muelekeo yaani yuko yuko tu simuelewi nikawa najifikiri tuta mleaje huyo mtoto na mm nilikua na ndoto za maisha ninayo taka kumpa mwanangu basi kila nikifika hapo nachoka kabisa nguvu ya kuzaa inaisha! Lkn tofauti na hayo kijana alikua mstaarabu sana , tabia nzuri na ana mapenzi, ana nisikiliza yaani ana sifa nyingi tu na zaidi alikua ana nipa raha kwenu kufanya mapenzi ( ILOVE SEX ) ... Lkn kitu kilicho kua kin niboa ni kwamba hafanyi kazi Sasa mm siwezi kuwa na mwanaume ambae hafanyi kazi Yaani nilikua naweza kutoka kwake asubuhi nikaenda kwenye mishe mishe town Lkn nikirud i na mkuta kalala labda hajaoga toka nilivyo muacha dah! Yaani Kama kuna kitu kina kera kwenye maisha yangu ni mwanaume mvivu na mchafu nachukia sana ! Nikawa namvumilia coz when it comes to sex 👌👌 ... na all that time jamaa wa Dodoma akawa ana nipigia cm wkt mwingine akija dar naenda kumuona sasa nikiwa na huyu tunaongelea mtoto ! Na sifa ninazo taka kwa mtu ninae taka kuzaa nae anazo! Kwanza ana muelekeo wa maisha,ana malengo, umri wake sahihi,ana Kazi nzuri na nikiongea nae naona vitu anavyo penda kuhusu ukuaji wa mtoto na mm napenda kwa hiyo maongezi yetu mengi ya kawa yana lingana! Lkn sasa hakua na time yaani naweza nikamuona miezi kazaa Mara moja yaani juu kwa juu tu na nikimuona leo labda mpaka miezi ipite
so tukawa hatuko karibu labda akiwa dar mm Niko nje ya nchi tukawa tunapishana.
Itaendelea......

Eti hana time....
Lol watu wanadate/kuolewa na waheshimiwa na muda wote wapo pamoja.
Aseme tu sugy alimchukulia spare tyre yake akiwa kakosa mwanamke ndo anamtafuta au na yeye kati ya msururu wa wanawake wa waheshimiwa ila hakuwa permanent girlfriend wa MOTO CHINI
Asijishaue sana hiyo mimba bahati mbaya tu na maisha ya pangu pakavu akaona ngoja nijishikishe tena muheshimiwa.
Ndo maana hata alivyoachwa mpaka leo anaweweseka.
Haka kakomavu faiza kana kaphotocopy canon huko chini maana shasha ni MINI SUGU
 
Huyu dada anajidhalilisha maana inaonesha ni jinsi gani alivyo malaya.Yupo na muheshimiwa bado wa dar na babu mzungu wa nje ya nchi.Duh?kuna watu wanayaweza
 
Huyu dada anajidhalilisha maana inaonesha ni jinsi gani alivyo malaya.Yupo na muheshimiwa bado wa dar na babu mzungu wa nje ya nchi.Duh?kuna watu wanayaweza

Mmmh akiwa na mmoja anazima simu au inakuwaje?
 
Back
Top Bottom