Love bite

Love bite

Duuuuh!!!!humu ndani ukija na stress lazima zikate....eti mahaba ni............ni....'haallaaaaah!!!!!!!napita tu....
 
Mahaba mnayaonea jamani!! Mi langu moja tu! Mahaba nikimbize kama ndege za kijeshi....
 
Ivi kumbe stori za mavampire ni for real!!😱....siku atanyonywa damu jamaa yuko juu ya kifua chake.
 
hahahahhaha Dilekeni umenchekesha sanaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,jaman waswahil tuna maneno sana,,,,sasa ukikamuliwa kama tui la nazi si ndo utabaki machicha tu ndugu yangu
hahahahah kiuhalisia nikibaki machicha ni sawa na kufikia kilele cha mapenzi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom