Wewe charminglady una nini nami..? Vin Diesel na Paloma wapi na wapi..?
Paloma yupo kajaa telee.. muulize huyo charminglady anataka kukunyima nini..?
hahahhhhaaa!! mwanaume una majungu wewe.
ha ha si uongo kaja juu kwel kuanzia apate kipoza moyo
mabesti hawafanyiani haya. umediskwalifai tayar
mahaba nipoteze hata jf nisionekane
Nina ndugu yangu amelakamika kuhusu mpenzi wake anaye mng'ata wakati wa "love making" amebaki na makovu na alama kila mahali. Kila akimuomba jamaa haelewi anamwambia kuwa ni kati ya vitu anavyohusudu kwenye mapenzi. je afanyeje kuondoa makovu na alama.Msaidieni jamani.
masai dada tangu upate mchumba wa temporary una mbwembwe
haya jibanie tu....
Hii sred hii, haya bana. Mahaba ni...
usijali utapata. kuna watoto wakaree humu. endelea na mawindo.
uko poa lakin besti?
aaaaaah,mchumba wa temporary ndo wa sampuli gani????
humu presha tu
hahhaah mahaba nipoteze kama ndege ya malaysia