Love bite

Love bite

Hiyo ni mizuka ya kijin jaman mapez na stareh gan kungatana mwilin c hasha anataka amle nyama huyo
 
hahaha mahaba nikamue kama tui la nazi

hahahahhaha Dilekeni umenchekesha sanaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,jaman waswahil tuna maneno sana,,,,sasa ukikamuliwa kama tui la nazi si ndo utabaki machicha tu ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
hahaha mahaba nikamue kama tui la nazi

hahahahhaha Dilekeni umenchekesha sanaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,jaman waswahil tuna maneno sana,,,,sasa ukikamuliwa kama tui la nazi si ndo utabaki machicha tu ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
Nina ndugu yangu amelakamika kuhusu mpenzi wake anaye mng'ata wakati wa "love making" amebaki na makovu na alama kila mahali. Kila akimuomba jamaa haelewi anamwambia kuwa ni kati ya vitu anavyohusudu kwenye mapenzi. je afanyeje kuondoa makovu na alama.Msaidieni jamani.
Kama ni shingoni kama love bite nyingi zilivyo, mwambie avae sweta la pola neck.
 
Muulize lara1 Huwa Anatumia Nini Kujikinga
 
Last edited by a moderator:
masai dada tangu upate mchumba wa temporary una mbwembwe
 
Last edited by a moderator:
Hah!! Akishafanana na kombati ataanza kumnyanyasa akijua keshamchakaza ngozi!


Hahahaha...eti kombati...atakuwa na mabaka kama buti la mgambo....ila huyu jamaa ana dalili za kuwa vampire....sio bure
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom