CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Huyu jamaa anaweka alama mali yake.
safi sana.....
Weww... Afu mekumiss lol, ni Paloma ndo kakuficha nn??
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa anaweka alama mali yake.
safi sana.....
hahaha mahaba nikamue kama tui la nazimahaba tung'atane kama mbwamwitu
hahaha mahaba nikamue kama tui la nazi
hahaha mahaba nikamue kama tui la nazi
Mahaba nipe kero kama morogoro road
Kama ni shingoni kama love bite nyingi zilivyo, mwambie avae sweta la pola neck.Nina ndugu yangu amelakamika kuhusu mpenzi wake anaye mng'ata wakati wa "love making" amebaki na makovu na alama kila mahali. Kila akimuomba jamaa haelewi anamwambia kuwa ni kati ya vitu anavyohusudu kwenye mapenzi. je afanyeje kuondoa makovu na alama.Msaidieni jamani.
unataka la wapi?
Mahaba nitunze Husninyo nimridhishe
nipo hapa....
Hah!! Akishafanana na kombati ataanza kumnyanyasa akijua keshamchakaza ngozi!
masai dada tangu upate mchumba wa temporary una mbwembwe
Weww... Afu mekumiss lol, ni Paloma ndo kakuficha nn??
Paloma yupo kajaa telee.. muulize huyo charminglady anataka kukunyima nini..?