Love bite

Love bite

Nina ndugu yangu amelakamika kuhusu mpenzi wake anaye mng'ata wakati wa "love making" amebaki na makovu na alama kila mahali. Kila akimuomba jamaa haelewi anamwambia kuwa ni kati ya vitu anavyohusudu kwenye mapenzi. je afanyeje kuondoa makovu na alama.Msaidieni jamani.
Wanunue bites ili watumie kabla na wakati wa mafirigisu firigisu! Hapo utakuwa umesolve na hatong'atwa mtu tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom