Looking for gentleman

Looking for gentleman

Yakhee nipo hapaa, ila samaki namla pande zote mieee
 
Hello,

Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.

Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour

Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.

Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
Weka picha tukuone..labda we ni jini...
 
Mbona profile inaonekana umezaliwa 1970 up to now una miaka 46!??? Au niaje apo tena!!!!!!!
 
Hello,

Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.

Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour

Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.

Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
I hope we will make a perfect combination ...nicheki whattsapp 0765113668

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Pole sana,unahitaji wa ngapi!??maana watajitokeza wengi na upo pekee yako ,utaanza kuwafanyia usahili mmja baada ya mwingne!??na kamà umeokoka na kumutegemea Mungu kwann usifunge na kumuomba Mungu juu ya hili!??

Tafadhali,katka kutekeleza kiu za yale uliyokusudia akilin mwako usimuhusishe Mungu au Mambo ya dini unadharilisha na kuwakosea heshima wale wenye dini za kweli
 
Asee nadhani nyota imeniangukia fasta ni pm kabla wengine hawajaamka wewe hii nafasi ikiichelewesha ndo basi tena
 
Inawezekana kabisa kabisa kumpata gentlemen wa ukweli
 
Sidhani kama miaka aliyosema ni mingi, kama kweli upo serious jitokeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom