Looking for gentleman

Looking for gentleman

Wanaume wenzangu jamani tupunguze kujirahisisha kwa wanawake .. Dunia imebadilika sasa kwanza tuko wachache... Turinge hata kidogo bac ... Naamini ingekua ni mwanaume ameleta huu uzi hapa commnts zingekua 10 mpaka muda huu... Haya mambo ya kizamani bana tuwaachie nao zamu yao ya kurusha mawe juu ya bati.. Ushauri kwa dada a real gentleman hapatikani kwa staili hii... Hao wote waliojiongeza hapa ni team Mafisi tuu.. Wanakula mpaka Viatu.
 
anhaa vizuri..kweli wanaptkan sana tu ila sijajua atitude yako na back ground yako ..maana kwa sasa cio mapenz na ukweli ninaweza nikaitkia ndio and then at the end inakua maumivu tuu,na nia na sababu inayokufanya utafte uko nayo mwenyew ..bt if you real kile unachokihitaji post your phone namb whatsup and then we will continued..
 
Hello,

Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.

Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour

Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.

Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
Hebu kuwa wazi ,ni mambo yepi ya baadae?..wengine mnakuwa mmesha watoto sha halafu mwatafuta wa kuwalishia.
 
Huku wengi ni vichoshoo bora ukutane na kurumbembee kwa mama Muuza gongo than huyu wa hapaaa maana ataishia kukuchungulia japo si mbayaa alafua baadae akawa kichoomii...

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom