Teh teh teh..wew ni kiboko unaomba fursa na wivu juu...njoo pm tumalize hii biashara mapema na huu uzi uondoe hapa



kamata fursa twenzetu.Teh teh teh..wew ni kiboko unaomba fursa na wivu juu...![]()
ha ha ha ha ha huwa nabadilikabadilika kilawakatiKumbe wewe ni me, maana kuna siku nilitaka nitupie ndoana
Hello,
Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.
Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour
Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.
Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
Hello,
Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.
Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour
Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.
Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.