Looking for gentleman

Weka picha!
Hii hapa...
downloadfile-7.jpeg
 
Hello,

Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.

Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour

Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.

Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
Mume wa mtu vipi? Utakubali kuwa mchepuko?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Hello,

Naamini mwenza anaweza patikana popote na humu pia naamini wapo walio serious na uhitaji wa kweli.

Mimi ni msichana, umri wangu 27, mkristo na black in colour

Kama Mungu atapenda natamani nimpate a serious man, umri kuanzia 29-36,awe mkristo, na mwenye nia ya dhati ya mahusiano.

Kama tutamatch mambo mengine tutafahamishana.
Nimekuelewa, nipo tayari my


Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom