Looking for gentleman

Looking for gentleman

Mbona historia yako ya mapenz hujatuambia

Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
 
Mtoto wa Sangu Secondary, pata mfaidi akiwa kinda kabisa baada ya kumpa elimu darasani anakuja nipa Mavituz Maghetton
heheheh basi huyu umeshare na dogolasi wangu anayenifuata,alikuwa anakuja sana forest mpya kwa uncle wake ndo walionana kule
 
Nenda uchezewe,mwanaume wa kweli atakuja tu mda ukifika wala haitaki mabango ukutani..just behave,be humble socialize and pray for it.AMEN
 
Mnakosea kuweka sifa hizo, sifa ya kwanza unatakiwa kuweka ni Kwa mwanaume anayeweza Kukukojoza Dada. Ndoa bila kufika kileleni sio ndoa. Wenzio wengi wanaishi Mbezi beach kwenye mijengo ya maana ila kukojoa wanakusikia kwenye bomba. Na ukipata mwanaume kibamia na siyeweza kukukojoza utajuuuta kuolewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom