mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
Happy bday Mod....
Kiukweli kabisa shem AshaDii, huku kwenye kamati ya vinywaji hatuhitaji msaada wala usimamizi wowote ule. Isitoshe vigezo na masharti ya jinsia lazima yaheshimiwe...hahaha! Una wivu wewe! Kisa tu mleta cake analishwa cake na BD boy? hahaha! Basi yeye awasimamie akina shem Asprin kule stoo ya vinywaji, hatutaki yatokee la last year ya kuiba glass champagne.
Mkuu hongera sana kwa kuzaliwa this date. Mungu akupe afya na maisha tele na nguvu ya kuzikabili changamoto za maisha...Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni.../QUOTE]
Dah ni furaha kujua nimezliw siku moja na paw!! Nimegundua watu tunaozaliwa 2nd dec ni werevu sana na tuna personality ya kipekee(if my posts and paw‘s are anything to go by lol!)
Hapi birthday to me!
And hapi birthday to paw!!
Hahahaha Mkuu Niwie radhi bana. Mwakani ntakualikaPaw mbona sikupata mwaliko, BAN inakunyemelea
Mmmh naona unataka ninunue maneno sasa veve, #Just Saying#
he he heeeeeeeeee, naisubiria hiyo BAN hapa hapa...... yaani sitoki kabisaaaaaaaaaaaaaaaaPaw mbona sikupata mwaliko, BAN inakunyemelea
naomba katikati ya maombolezo yangu upokee heri yangu ya siku yako ya kuzaliwa mkuu..Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni.
Nilipaswa kudamkia ibadani lakini guts zikanileta online, ndo nakutana na zahama la kuzushiwa kuaga dunia (ingawa poster alitaka kutumia tamathali ya semi).....
ushe, washinda zeze? Yaani unataka kunisaidia majukumu ya kinyumba? Utaweza? Hukawii kukuta Paw anakukimbia. Mie nakaa kando wala sishindani.
Ushindwe na ulegee, Paw akikupiga warning igeuke kuwa BAN!!Asprin unaogopa kumtukana Invisible? we tukana tu hata kama ni Fang huu mwisho wa mwaka wametoa ofa ya matusi free mshindi ataambatana na couple yake hadi Guatenamo naomba usinikumbuke kwenye ufalme wako nakutakia safari njema till next year
Ushindwe na ulegee, Paw akikupiga warning igeuke kuwa BAN!!