Loh: Kumbe nimezaliwa leo!

Loh: Kumbe nimezaliwa leo!

Umeona eeh, mwambie aje kwangu ale mema ya nchi!! PAW Kutwa PM imejaa makopa.
Halafu taarif nilizonazo ni kwamba atahamishiwa Jukwaa la chini kabisa, hapo ndio mwisho wa maneno.
ndoa zenu za memkwa mie akhuuu! Sitaki hata kuwasikia.
sweetlady, ingekuwa wewe umepata tunu hii ungeacha kujihashua? Heheheh, mjini mipangooo!
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday shemeji langu la ukweli Paw ... Mungu akupe maisha marefu yenye furaha , amani na upendo daima!


Wifi AshaDii tafadhali toa mwongozo!


Mke mwenza King'asti fanya ulete ule mchuchumio!


Kamati zaizi zinaeleweka kabisaaaaa! Hara hara Mute asiwepo kwenye kamati, aje tu kama mgeni.

Ya vinywaji anapanga baba watoto Kaizer, Ya mapango unapanga wewe wifi sweetlady, ya music wanapanga Preta na Apollo, Mapambo atapanga Madame B na Ciello, Burudani atapanga Zinduna na Nicas Mtei, Usafiri namuacha Mtambuzi ashirikiane na Judgement na platozoom katika kupanga... Alafu wa cake naona tu tumuachie FirstLady1!


 
Last edited by a moderator:
hahhahahhaha umenigeuzia kibao sio!
bora hukuchungulia ndani ukaona nilikuwa na nani kule nyuma mweh!kingesanukaaaaje!

Afu binti mamboo! Refar agenda yetu ya jana sawa?
Sasa kwenye mnuso huu hakikisha unantafuta! Tena kabla hujalewa, maanake ukishalewaga mimacho inavyokuleaga itanipa mtihani ! Risala ya msibani nikaisoma harusini.
 
Last edited by a moderator:
Afu binti mamboo! Refar agenda yetu ya jana sawa?
Sasa kwenye mnuso huu hakikisha unantafuta! Tena kabla hujalewa, maanake ukishalewaga mimacho inavyokuleaga itanipa mtihani ! Risala ya msibani nikaisoma harusini.

utanizaa mwaka huu!haya nakusubiri!hala hala tu usije ukachomwa na kitu chenye ncha kali na Boflo
 
Last edited by a moderator:
Afu binti mamboo! Refar agenda yetu ya jana sawa?
Sasa kwenye mnuso huu hakikisha unantafuta! Tena kabla hujalewa, maanake ukishalewaga mimacho inavyokuleaga itanipa mtihani ! Risala ya msibani nikaisoma harusini.

ndo nimuache Paw wangu kwa ajili yako, kha! Ntadodaje?
 
Kamati zaizi zinaeleweka kabisaaaaa! Hara hara Mute asiwepo kwenye kamati, aje tu kama mgeni.

Ya vinywaji anapanga baba watoto Kaizer, Ya mapango unapanga wewe wifi sweetlady, ya music wanapanga Preta na Apollo, Mapambo atapanga Madame B na Ciello, Burudani atapanga Zinduna na Nicas Mtei, Usafiri namuacha Mtambuzi ashirikiane na Judgement na platozoom katika kupanga... Alafu wa cake naona tu tumuachie FirstLady1!


mi ntakuwa mgeni mwalikwa sio?ngoja nitafute mparo!
 
wifi asante, ila ya keki plz nimeshashughulika. Naomba umpe kazi nyingine FirstLady1


hahaha! Una wivu wewe! Kisa tu mleta cake analishwa cake na BD boy? hahaha! Basi yeye awasimamie akina shem Asprin kule stoo ya vinywaji, hatutaki yatokee la last year ya kuiba glass champagne.
 
Last edited by a moderator:
Kamati zaizi zinaeleweka kabisaaaaa! Hara hara Mute asiwepo kwenye kamati, aje tu kama mgeni.

Ya vinywaji anapanga baba watoto Kaizer, Ya mapango unapanga wewe wifi sweetlady, ya music wanapanga Preta na Apollo, Mapambo atapanga Madame B na Ciello, Burudani atapanga Zinduna na Nicas Mtei, Usafiri namuacha Mtambuzi ashirikiane na Judgement na platozoom katika kupanga... Alafu wa cake naona tu tumuachie FirstLady1!




Da AshaDii hapo kwenye kamati ya usafiri nina wasi wasi napo.
Kumbuka platozoom na Judgement walikimbia na pesa za usafiri kwenye Birthday ya snowhite.
Napinga hiyo kamati.


Afu mimi nataka uniweke paleeeee pa kumuogesha Mtoto Paw.:bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby:
 
Last edited by a moderator:
happy_birthday111.gif
Paw
 
Last edited by a moderator:
mi ntakuwa mgeni mwalikwa sio?ngoja nitafute mparo!


hehehe! Acha kutega... Huoni hapo palivyo pwaya? hao ni waliopo kwenye group na sio group zima. So wewe sasa tunaomba uwe floor manager, hakikisha wote kazi wanafanya vizuri na wategevu wa sherehe kama Mwa J, charminglady, Natalie na Mentor wasitegee kabisaaa. Then uongeze wengine mahala ambapo kumepwaya... unasemaje 'Floor Manager'?
 
Last edited by a moderator:
Kamati zaizi zinaeleweka kabisaaaaa! Hara hara Mute asiwepo kwenye kamati, aje tu kama mgeni.

Ya vinywaji anapanga baba watoto Kaizer, Ya mapango unapanga wewe wifi sweetlady, ya music wanapanga Preta na Apollo, Mapambo atapanga Madame B na Ciello, Burudani atapanga Zinduna na Nicas Mtei, Usafiri namuacha Mtambuzi ashirikiane na Judgement na platozoom katika kupanga... Alafu wa cake naona tu tumuachie FirstLady1!



Sijaoja ya vinywaji kapewa nani......Naweza kujipendekeza?
Mimi ni kiongozi nipo tayari kubeba mzigo mzito
 
Da AshaDii hapo kwenye kamati ya usafiri nina wasi wasi napo.
Kumbuka platozoom na Judgement walikimbia na pesa za usafiri kwenye Birthday ya snowhite.
Napinga hiyo kamati.


Afu mimi nataka uniweke paleeeee pa kumuogesha Mtoto Paw.:bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby:
kuuumbe af hamkuniambia!mkabaki tu oh we home atakupeleka Mtambuzi mi nikajua kwa kuwa ni dereva mzoefu!kumbe hawa ndo walikula hela ya usafiri!
LOL!
 
Last edited by a moderator:
Da AshaDii hapo kwenye kamati ya usafiri nina wasi wasi napo.
Kumbuka platozoom na Judgement walikimbia na pesa za usafiri kwenye Birthday ya snowhite.
Napinga hiyo kamati.


Afu mimi nataka uniweke paleeeee pa kumuogesha Mtoto Paw.:bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby::bathbaby:


Si wajua tena nilikuwa maternity mambo yalinipita... haya basi wasiliana na Floor manager snowhite nani achukue hizo nafasi...

Alafu nani anapiga picha jamani? Mbuzi Mzee, Don Mangi, Boflo MziziMkavu ama Bujibuji?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom