happy birthday King'asti....
jukumu la mwanaume ni kusambaza mbegu far n wide.
umeshatoka selo ama unatumia simu ukiwa kizuizini? Unajua yaliyompata binamu yako liyumba ewh. You are warned.unanchekesha,unamkataa kibosile wa jf,Mungu akupe nini miwaya?
acha kuntishia nyau,hivi hujui siku liyumba anaswekwa ndani kinondoni nzima wanawake ilikuwa ni vilio? Chezeiya kidume liyumba wewe.umeshatoka selo ama unatumia simu ukiwa kizuizini? Unajua yaliyompata binamu yako liyumba ewh. You are warned.
Happy birthday Paw!