snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
naomba ufunike ushungi tafadhali. That is for ur own good.
kisa na mkasa nisioneshe mzizi wangu nini?
naomba ufunike ushungi tafadhali. That is for ur own good.
Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni.../QUOTE]
Dah ni furaha kujua nimezliw siku moja na paw!! Nimegundua watu tunaozaliwa 2nd dec ni werevu sana na tuna personality ya kipekee(if my posts and paw‘s are anything to go by lol!)
Hapi birthday to me!
And hapi birthday to paw!!
Yan hapa niko naelekea supermarket kubeba aiba zote za vinywaji vilivyoko huko!kaka nakuaminia kwenye vinywaji. Event organiser wa familia AshaDii anataka kutusurprise. Usitie shaka. Keki nimetengeneza mwenyewe kwa mikono yangu.
sasa kama kwao kuna visima vya mafuta na mapetrol station ya kurithi na makasri? Ajenge ya nini? Majungu mtaji siku hizi, kupendwa rahaaaa! Utakoma kaka.
nilikutana nae mahala fulani hivi lukwiiri kweli(hapa mwite mtani wako mwingine dada mkubwa FP kwa ufafanuzi)mimi hapa mtani, tafwaadhali nieleze mimi huyu bi dada kaegesha wapi leo kama simuelewi vile...
Safari could not open the page because the server stopped responding.
If I could wish Valentine iwe Desemba kwa sababu :mwaaah:TRUE LOVERS:mwaaah: wamezaliwa mwezi huu