Loh: Kumbe nimezaliwa leo!

Paw

Content Manager
Nov 14, 2010
2,109
1,360
Kengele za hatari zililia kichwani wakati nashusha mguu kutoka godoroni.

Nilipaswa kudamkia ibadani lakini guts zikanileta online, ndo nakutana na zahama la kuzushiwa kuaga dunia (ingawa poster alitaka kutumia tamathali ya semi).

Wakuu nipo, tena nipo sana nikifuatilia na kumoderate kila kilichopo kwenye uwezo wa mimi kufanya. Bahati mbaya ni kwamba nimekuwa mkimya kuchangia hoja humu kwa sababu muda unanikaba kwei kwei.

Lakini kupitia facebook akaunti yangu ndo nimegundua kwamba nimezaliwa leo.

Hima nawahi duka la keki nipate keki ya kupiga nayo picha.
 
Happy birthday Paw..from Mr. Mentor & Mrs. Catherine Mentor.
Leo toa ofa basi ya NO BAN.

Side note: experience yangu inaonyesha watoto wengi wa december ni wahuni...is ths true kwako??!
 
Last edited by a moderator:
Is there a birthday message that can express my love for you? This is what I want your Birthday to usher in for the year ahead for you -
B - Blessings so that all your endeavors are successful
I - Inspiration to do beautiful things in life
R - Reassurance in times of being low
T - Tolerance for both happy and sad times
H - Happiness all year round
D - Daring to go in unfamiliar areas where other people haven't ventured
A - Admiration that other people will harbor for you because of your deeds
Y - 'Yes, yes, yes', a zest for everything positive in life
Have a super Birthday, my dear husband!
 
:violin:"Happy Birthday to yuuuu'

Happy Birthday to yuuuu'

Happy Birthday dear brotheeerrr

Happy Birthaday to yuuuuuuu"
:violin:

Paw dear, may this Birthday be an opening to a Great Holiday Season to come.

Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema akuneemeshe, akubariki na kukupa maisha mareefu na Furaha tele


:A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:...HAPPY BIRTHDAY Pal...:A S-rose: :A S-rose: :A S-rose:


 
Is there a birthday message that can express my love for you? This is what I want your Birthday to usher in for the year ahead for you -
B - Blessings so that all your endeavors are successful
I - Inspiration to do beautiful things in life
R - Reassurance in times of being low
T - Tolerance for both happy and sad times
H - Happiness all year round
D - Daring to go in unfamiliar areas where other people haven't ventured
A - Admiration that other people will harbor for you because of your deeds
Y - 'Yes, yes, yes', a zest for everything positive in life
Have a super Birthday, my dear husband!


Wifi King, Mapenzi gani ya upendeleo hayo? mbona hujamrushia mu thread kaka yangu na hali yeye anakurushiaga na mara ya mwisho kakubadilishia na gari? Au ndio mambo ya Mute haya?? :painkiller:
 
Last edited by a moderator:
Acheni kujipendekeza kwa pou,kila siku mnamwish agongwe na treni mpumue ban,kwendeni zenu huko!
Bwana Pou mi ndo rafiki yako wa kweli bro,kula basi five kwenye besdei yako. By the way ushaoa? Kama bado nakutunuku Madame B kama zawadi yako ya besdei,enjoy! King'asti king'asti nini bana king'asti akae huko jikoni alee watoto,ponda raha Pou.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kujipendekeza kwa pou,kila siku mnamwish agongwe na treni mpumue ban,kwendeni zenu huko!
Bwana Pou mi ndo rafiki yako wa kweli bro,kula basi five kwenye besdei yako. By the way ushaoa? Kama bado nakutunuku Madame B kama zawadi yako ya besdei,enjoy!
Naona unahamu ya kutafunwa mzima mzima na King'asti wewe! Hujui Paw ndio roho yake?
 
Last edited by a moderator:
Wifi King, Mapenzi gani ya upendeleo hayo? mbona hujamrushia mu thread kaka yangu na hali yeye anakurushiaga na mara ya mwisho kakubadilishia na gari? Au ndio mambo ya Mute haya?? :painkiller:
mke mwenza, jana nilikuwa nimechoka sana. Shem wako kaniacha nimelala kaniwahi huku. Nimeshamsemea kwa wifi AshaDii. Mara ati anaenda kujitafutia picha ya keki, nitamsema kesho. Weeh tuendelee tu. Njoo basi tukamilishe maandalizi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom