Acheni kujipendekeza kwa pou,kila siku mnamwish agongwe na treni mpumue ban,kwendeni zenu huko!
Bwana Pou mi ndo rafiki yako wa kweli bro,kula basi five kwenye besdei yako. By the way ushaoa? Kama bado nakutunuku Madame B kama zawadi yako ya besdei,enjoy! King'asti king'asti nini bana king'asti akae huko jikoni alee watoto,ponda raha Pou.
mke mwee, anamuongelea Pou, sio Paw. Ama mhaya hajui kuandika?
Weeeh, Mentor, mbona unataka kumkosea heshima shemeji yako? Kwanza mhuni maana yake nini?
mbona mie namsindikiza kazi zote? Mie namuamini kwa hiyo sidhani kama unahitaji kuwa na wasiwasi. Msakizie huyo Madame B uone sasa.We humjui pou,katika ma cheater yeye ndo numero uno,we subiri uone kama hujamsikia yuko mangapwani unguja na Madame B leo,nasikia atasingizia eti seva ya jf zanzibar imepata konkasheni.
hahaha, itawakera sanaaaaaa! Huzitaki mbichi hizi eeh, unalo kaka!Afu ulivyoshauka basi duuh !
Kama mchuzi baada ya chachuo la ndimu pakaongezwa na embe mbichi !
Ushatupia comments 5! Na uzi ndiyo kwanza m'bichi !
Shauka mdogomdogo basi. Nway Mr. Paw nikutakie afya njema kwa skukuu yako adhimu.
Kuna jinuso?
Jinuso wapi kaka? Kwani paw ana kitu basi? Hela yote kamalizia kwenye kumnunulia vidani king'asti.Afu ulivyoshauka basi duuh !
Kama mchuzi baada ya chachuo la ndimu pakaongezwa na embe mbichi !
Ushatupia comments 5! Na uzi ndiyo kwanza m'bichi !
Shauka mdogomdogo basi. Nway Mr. Paw nikutakie afya njema kwa skukuu yako adhimu.
Kuna jinuso?
Happy Birthday mume ya King'asti, ila inakuaje keki unaenda kutafuta weye?, huyu bi dada hajalala nyumbani au?
Acheni kujipendekeza kwa pou,kila siku mnamwish agongwe na treni mpumue ban,kwendeni zenu huko!
Bwana Pou mi ndo rafiki yako wa kweli bro,kula basi five kwenye besdei yako. By the way ushaoa? Kama bado nakutunuku Madame B kama zawadi yako ya besdei,enjoy! King'asti king'asti nini bana king'asti akae huko jikoni alee watoto,ponda raha Pou.
mh!mbona mbuzi mwenye sijakuona nae?hakuna lolote!ulikokuwa useme tu !yaani kweli majungu mtaji. Wewe tumekutana alfajiri natoka kununua mbuzi wa ndafu unadhani ndo nilikuwa narudi? Saa zile Paw alishapata na morning glory, hatakuamini asilani.