Loh: Kumbe nimezaliwa leo!

Loh: Kumbe nimezaliwa leo!

Sijaoja ya vinywaji kapewa nani......Naweza kujipendekeza? Mimi ni kiongozi nipo tayari kubeba mzigo mzito


Hivi unadhani ukitumia kujipendekeza ndio utaachiwa?? Ulie tu... Angalia vizuri hapo nimesema baba watoto ndio ataongoza. Ila sababu anashinda saana mpaka wa Malawi sio mbaya ukiongoza wewe... Hebu chagua kabisa wa kukusaidia huko.
 
hehehe! Acha kutega... Huoni hapo palivyo pwaya? hao ni waliopo kwenye group na sio group zima. So wewe sasa tunaomba uwe floor manager, hakikisha wote kazi wanafanya vizuri na wategevu wa sherehe kama Mwa J, charminglady, Natalie na Mentor wasitegee kabisaaa. Then uongeze wengine mahala ambapo kumepwaya... unasemaje 'Floor Manager'?

enheeeeee hapo umenipatiaaaaje!na ningekaa kweli home mie mpaka sa mbili usiku ndo niingie ukumbini!lakini kwa kunipa hilo jukumu!lol nabadili na route kabisa pa kwenda kuchukulia mparo nikitoka huko napitiliza kabisa eneo la tukio niangalie kama mambo yote yako bien kisha nitapita saluni kutengeneza nywele kama hivi
rty.jpeg
halafu nitavalia huko huko na kuja ukumbini!
 
Si wajua tena nilikuwa maternity mambo yalinipita... haya basi wasiliana na Floor manager snowhite nani achukue hizo nafasi...

Alafu nani anapiga picha jamani? Mbuzi Mzee, Don Mangi, Boflo MziziMkavu ama Bujibuji?

Ndo hivo tena.
watu tulitoka Serena mpaka bagamoyo kwa miguu.

Hapo kwenye Picha tungewapata Boflo na Don Mangi mambo yangekuwa Mswano.
nasikia MziziMkavu Yuko likizo ya Uzazi anamsaidia mkewe. Mbuzi Mzee amechoka baada ya safari ndefu ya kwenda kupiga picha za Kikwete kule Lindi na Airport na Bujibuji Yuko Off.
 
Last edited by a moderator:
enheeeeee hapo umenipatiaaaaje!na ningekaa kweli home mie mpaka sa mbili usiku ndo niingie ukumbini!lakini kwa kunipa hilo jukumu!lol nabadili na route kabisa pa kwenda kuchukulia mparo nikitoka huko napitiliza kabisa eneo la tukio niangalie kama mambo yote yako bien kisha nitapita saluni kutengeneza nywele kama hivi
rty.jpeg
halafu nitavalia huko huko na kuja ukumbini!



Jamani... Nachukua off ya mda mchache nimu appreciate huyu dada snowhite... So naturale beautiful! Dah....
 
Hivi unadhani ukitumia kujipendekeza ndio utaachiwa?? Ulie tu... Angalia vizuri hapo nimesema baba watoto ndio ataongoza. Ila sababu anashinda saana mpaka wa Malawi sio mbaya ukiongoza wewe... Hebu chagua kabisa wa kukusaidia huko.

Ewaaa, nilitaka kushangaa kwamba undugunaizesheni mpaka kwenye parrrr.
Enewei msaidizi wangu kwenye mswala ya vinywaji (vyepesi na vizito) si mwingine bali niiiiiiiii..................(mdada lakini)
 
Nimeipenda hii ya kumtag zomba pamoja na dhahama la ban aliloshushiwa siku si nyingi. Ha ha ha ha!
Le Mutuz kwenye page yake ya FB anafunguliaga watu aliowablock kila akisherehekea siku yake ya kuzaliwa (mimi kila mwaka lazima anifungulie kwa sababu huwa ananiblock kila ninapochangia mada kwenye wall yake) hivyo basi kwa experience hiyo napendekeza katika kusherehekea siku yako ya kuzaliwa umfungulie Malaria Sugu na wengine waliokula ban la maisha kama FF. Nawamiss sana !!
 
Mtambuzi, Judgment njooni tujibu hizi tuhuma za kizushi!

Naendelea kukusanya ushahidi wa DEFAMATION niwafikishe wote waliohusika ku- damage my reputation hapa Jamii Forum.....

Ngoja niwasiliane na mwanasheria wangu Ruttashobolwa kwa ushauri wa kisheria ndio nitajua nianzie wapi.....

Happy Birthday Mr. Paw
 
Last edited by a moderator:
Vimwana wa Chit Chat watakaopendezesha Party ya Paw leo............
Kutoka kushoto: cacico, Kipipi, snowhite, na huyo wa mwisho ni binti maringo nivea...............

Naomba kutoa udhuru wa kutohudhuria hiyo Party maana nimeshikwa na mama Ngina, hakuna kutoka leo, nitakuwa nikichungulia up dates kupitia mchina wangu nikiwa home..............LOL
003.jpg
 
enheeeeee hapo umenipatiaaaaje!na ningekaa kweli home mie mpaka sa mbili usiku ndo niingie ukumbini!lakini kwa kunipa hilo jukumu!lol nabadili na route kabisa pa kwenda kuchukulia mparo nikitoka huko napitiliza kabisa eneo la tukio niangalie kama mambo yote yako bien kisha nitapita saluni kutengeneza nywele kama hivi
rty.jpeg
halafu nitavalia huko huko na kuja ukumbini!
naomba ufunike ushungi tafadhali. That is for ur own good.
 
Back
Top Bottom