Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

Wawe wanapiga dawa kuua kunguni, unaweza ukabeba kunguni na kupeleka nyumba na wengine kuwaacha kwenye basi wakazaliana huko kama hawatadhibitiwa
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Halafu Hilo ni tatizo sugu la miaka mingi sana miaka Tisa iliyopita nimelala msavu hapo hao kunguni walikuwa ni balaaa Ili bidi niamke nikae kwenye bado kungunguni wananifuata ilikuwa ni balaa
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Mbaya zaidi unaweza kuwahamishia nyumbani kwako. Angalia sana... ukifika kama ulikuwa na mizigo usiingize ndani bila kukagua. Au wewe, nguo na viatu ulivyovaa. Ni wajanja sana. Wanajua hapo wako wengi hivyo wengine watahama kwa kukutumia wewe.
 
Kunguni ni shida.Wananikumbusha enzi zile niliwahi kulala stesheni ya reli Dodoma.Kulikuwa na kunguni kwenye mabenchi pale si mchezo.Tulikesha tumesimama.
Wakati nipo Kwa ndugu Kuna dogo mmoja nilikuwa nalala nae.sasa yeye alikuwa na tabia akifua nguo zake ana Anika ndani.kwenye kitanda cha double deka.yeye analala juu Mimi chini.kumbe Yale maji yakiingia kwenye godoro yanaweka uchafu.kuna siku nimelala naangalia kwenye neti naona mjomba anapita nikasema ehee kunguni.nikamuua mmoja kesho Tena nikamuona mwingine nikasema hapa tushavamiwa kuja kufunua godoro na kwenye chaga.wapo wa kutosha na mayai KIBAO
 
Wakati nipo Kwa ndugu Kuna dogo mmoja nilikuwa nalala nae.sasa yeye alikuwa na tabia akifua nguo zake ana Anika ndani.kwenye kitanda cha double deka.yeye analala juu Mimi chini.kumbe Yale maji yakiingia kwenye godoro yanaweka uchafu.kuna siku nimelala naangalia kwenye neti naona mjomba anapita nikasema ehee kunguni.nikamuua mmoja kesho Tena nikamuona mwingine nikasema hapa tushavamiwa kuja kufunua godoro na kwenye chaga.wapo wa kutosha na mayai KIBAO
Ungemkata makofi ili aache upuuzi wake.
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Ukiwa unataka kwenda andaa mazingira ufanye fumigation kabisa.
 
Kibongo bongo room walau inayoeleweka kwa hii miji mikubwa ni kuanzia 35k, chini ya hapo ndo utalutana na kunguni, mara taulo bichi, mara ndala amna, sijui mto mmoja n.k !

Kwa maeneo ambayo sio miji mikubwa I mean ni center tu walau room ya 20k kwenda juu ndo inaeleweka !
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
😹😹😹 Sasa ungewachukua halafu uwaweke chini kisha uwapandie juu kujinusuru na kunguni..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom