Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Sinza kuna lodge inaitwa vienna ina kunguni niligombana na wife saa kumi usiku nikajifanya nimezila naondoka kwa hasira nikatoka kwangu nikaenda kulala viena

Ile nimelala wajomba walicheza na mgongo wangu....

Ikabid nirudi home ...wife vipi mbona umerudi nikasema yaishe nimekusamehe ....kumbe wajomba kunguni walinifukuza
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Kumbe na huduma ipo....nitakuja weekend
 
Kwa pale msamvu ni kawaida kwa sababu pale wanalala watu tofauti kutoka kwenye maeneo tofauti na kila mtu ana mazingira yake aliyokulia hapa wenye lodge hawana muda wa kuikagua vitanda vyao wao wapo bize tu kupokea wageni
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Sasa mkuu kilichokuudhi ni kugongewa mlango au uwepo wa kunguni? Kwani kichakatio(kigegedeo) cha mbususu huna?
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Waluguru Malaya tu
 
Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu.
Kuna kunguni balaa.
halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Vile vi braza vinauma huwezi kulala mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom