<br><br>Kama haya maneno ni kweli, hiki si kitu cha kujivunia.<br><br>Hili litaonyesha ubovu wa mfumo wetu wa elimu kuliko ugumu wa first class.<br><br>This seems more like some medieval guild aimed at "barrier to entry" to that distinguished profession more than educational excellence.Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.<br>
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.<br>
<br>
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Lakini na nyinyi acheni dharau. Kwa nini mnabeza hivyo hizo festi klasi za Tumaini? Kwani wanaosoma Tumaini hawawezi kuwa na festi klasi? Acheni dharau zenu hizo. Kusoma UDSM wala si ujiko kihivyo.
hata Ngeleja, william ni 1st class LLB UDSM
hivi ni lini Graduate wa UDSM wataacha kuwaona graduate wengine kama sio Graduate,je tutabaki kuwa na UDSM milele yote, ina maana watakao soma UDOM nao watakuwa hawafai maaana ni public university,sio kweli kwamba graduate wote wa sheria wa Udsm ni wazuri kwenye soko kama mnavyo fikilia wapo vilaza vile vile pia sio kweli kwamba wanaosoma vyuo vingine ni vilaza wapo wazuri na wana fanya vizuri saana,ni tazamo tu
<br />natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Wewe ni kilaza, !st class wote hubakizwa chuoni au hata kuajiriwa na vyuo vingine ka ma Tutors n ahusomeshwa na uwa Professors baadae. Kwa nini Tumaini wasikuchukue? Nasikia eti Tumaini wanatoa !st class ili kuvutia wateja na ikiwa Lecturer atatoa marks kdg kibarua kinaweza kuota nyasi, balaa...Jamani vyuo ni vya Umma tu, huko private hamna kitu, tuna jamaa wengi tu wa Tumaini ofcn kwangu yaani ni mizigo tuu, kakitu kadogooo utaskia mkuu hebu hapa................... full kuomba miongozo........... shame....
mbona unafiri kwa ufupi hivyo?Kwa hiyo hao ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent 1st class ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana 1st class
Chris Peter naye alipataga Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo Na yule Mvungi je?
<br /><br />Kwa hiyo hao &quot;1st class&quot; ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent memory &quot;1st class&quot; ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana &quot;1st class&quot;?<br /><br />
<br /><br />
Chris Peter naye alipataga &quot;1st class&quot;? Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo &quot;1st class&quot;? Na yule Mvungi je?
<br /><br />Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
<br />Mnasema sheria ya tumaini ni mdebwedo cjui..how come students 4rm tumaini wanafanya vizuri law school?...mbona kuna watu kibao kama gerald nangi wanakimbiza mbaya pale law xul?...
<br />daaaa inaonyesha wewe ujasoma LLb kabisa kama wewe umesoma law karibu law school of tanzania njoo na hiyo 1 class yako utukute sisi wenye pass uone jinsi tunavyokukimbiza kama vile hujawahi kusoma ok
<br /><br /><br />
<br /><br />
Gerald Nangi Cv 4m four dvs 4 form six Dvs 2 ya mwisho Tumaini Univert Upper 2nd class Du du
<br /><br /><br />
<br /><br />
umesahau~comb yake ni hkl.
<br />
<br />
umesahau~comb yake ni hkl.