Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Hebu niambie ulikosoma vipanga darasani kwenu shule ya msingi na o level walichukua course gani? Na best student huwa anatoka mchepuo gani? Hasira hazisaidii huo ndo ukweli
Kwa hiyo hao "1st class" ni lazima wabaki chuoni? Na hivi hiyo Faculty of Law (hivi bado inaitwa hivyo) ina walimu wangapi sasa? Maana tunaambiwa in recent memory "1st class" ni tatu tu nazo ni za Migiro, Palamagamba, na Majamba (lol). Sasa hao walimu wengine wafundishao hapo wote wana "1st class"?
Chris Peter naye alipataga "1st class"? Shivji je? Mgongo Fimbo je? Lamwai naye alikuwaga ticha hapo. Naye alipata hiyo "1st class"? Na yule Mvungi je?
Sisi tuanzo nafasi za kuajiri lakini si graduate Law toka Tumaini University au UDOM.
hata Ngeleja, william ni 1st class LLB UDSM
Bwana Pasco!!Hivi waweza kutupa a bit kwa nini miaka yote hiyo hakuna au hakujapatikana mtu mwenye LL.B 1st Class kama ulivyoorodhesha kuwa unawafahamu watu 3 tu!!Je tatizo liko wapi na Ulisema AAh!!Kumbe First Class yenyewe Tumaini kwani Tumaini wewe unapaonaje?Au ndio ile mentality ya Wabongo kuwa only UDSM ndio chuo?Hivi kwa quality ya Vyuo Tumaini ni sawa na UDSM tu hakuna ubishi.Kama ungesema UDOM hapo sawa maake pale ndio kunazalishwa vilaza wengi tu so ili nisiandike mengi hebu tupe sababu za kutopata watu wenye fst Class
Inahusiana vp na hii mada?
Inahusiana vp na hii mada?
natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Una wivu wa kikeVipanga ni wale wanaosomea rocket science bana. Vipanga watakuwa wanasheria? Acha masihara bana....ndo maana nimeuliza huko nyuma, ugumu wa sheria ni nini? Kukremu?
Una wivu wa kike
Hilo jina tu.
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
Unaonekana una wivu sana na festi klasi za Udsm.After all, kusoma sheria huhitaji hata lab useme utafanya experiment.
First class ya mwisho UDSM ni ya Prof Hamudi Majamba, early 90's wacha hizo mkuu
Unaonekana una wivu sana na festi klasi za Udsm.
Pasco help hapa kwa nyie mliopita Udsm kitivo cha sheria hebu tuambie ugumu ulivyo pale kitivoni kitabu kikali haswa.
Nasikia ukipata first class ya sheria Udsm basi una uwezo wa kufaulu kiwango cha juu degree yoyote Havadi