Liyumba afungwa miaka 2 jela

Liyumba afungwa miaka 2 jela

Uzuri wenyewe huyu Liyumba anafaa kuingia community services, haitaji kwenda kujaza jela huyu.
 
Mizi wa kuku maka 7 bana kubwa, mizi nakwibia Tanzania ote maka bili tu. Yeye iko hela mingi nafukia chini taoza baba. :angry:
 
Haka ka nchi nakapendaga sana, yaani kila kitu ni sanaa tu! mtu anataka kujisafisha kisiasa kuwa amewachukulia mafisadi hatua, anaanza kukamata wasiokuwa na hatia za kifisadi na kuwaburuta mahakamani, ilhali akijua mashitaka aliyonayo dhidi ya mtuhumiwa hayana nguvu ama vigezo vyovyote kisheria vinavyoweza kumfunga mtuhumiwa! Yaani senema fulani hivi, ama kweli anayempenda ".jei.kei." akanywe naye chai!
Tangu mwanzo naliona ka-jihewa flani tu ka - ujanja ujanja.
But the serious question is: If our leaders and the govt in general, are prepared to go that far into buying people's approval on its accountability and capability to deal with culprits, how far are they determined to go to make sure the wrong doings they have committed in privatization contracts stay hidden and well away from the public eyes?
Well done public prosecutors, well won. The charade was so amazing, so moving! Damn you are good at it, someone has give you credit for that! Duh......!
Might as well let the mzee wa watu Mramba and others go in time so that they can have ample time to prepare themselves for the coming general election.
I wont be surprised to see them in the next government cabinet! This is Tanzania bwana, the land of '...nothing is impossible....' I wish this statement were aplicable towards National Development!
 
Angalia kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, 2007, Na. 11/2007:
"31. Any person who intentionally abuses his position in the
performance or failure to perform an act, in violation of law, in the
discharge of his functions or use of position for the purpose of
obtaining an undue advantage for himself or for another person or
entity, commits an offence and shall be liable on conviction to a fine
not exceeding five million shillings or to imprisonment for a term not
exceeding three years or to both.
"

kwa nini asipewe options ya kulipa fine tu? or both? na hakimu amemchagulia 2 yrs? au ndiyo wanampeleka shelisheli kula raha kisha wamrudishe baada ya miaka miwili!
 
kwa nini asipewe options ya kulipa fine tu? or both? na hakimu amemchagulia 2 yrs? au ndiyo wanampeleka shelisheli kula raha kisha wamrudishe baada ya miaka miwili!


Mkuu naomba ufafanuzi kidogo hapo nilikokoleza
 

Wizi mtupu baada ya miaka miwili na ndani yake msamaha wa rais katoka si wiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamaniiiiiiiiiii tuchapate kwanza ndio heshima itakuwepo
 
Ataachiliwa kwa parol sikukuu ya uhuru. Desember 9.

inatosha hadi wakati huo wabababe wa jela watakuwa wameambulia maana K ya mkurugezi bilionea lazima igombewe wababe wa jela kazi kwenu mungu awape nini
 
ndogo sana jamani

Nini kigezo cha kusema "ndogo sana jamani" . Kuna watu wanatumia magari ya serikali kubebea majani ya ng'ombe, kuna wengine wanatumia hela za serikali na kutofanya kazi inayotakiwa au iliyoainishwa, wengine wanachukua imprest au per diem hawaendi, kuna tofauti gani na huyu bwana ambaye jengo lipo na linaonekana kwa nini useme muda ni mdogo.

Tuanze kutoa boriti kwenye macho yetu, huyu hana tofauti yoyote na watanzania wengi walio maofisini.
 
Ni nini serikali/Takukuru wamejifunza kutokana na hukumu hii? Na je, mashitaka waliyomfungulia ndiyo haya yaliyotolewa hukumu? Mbwembwe zoote katika upelelezi, ukamwataji na kupelekwa mahakamani maana yake nini!
 
kwa nini asipewe options ya kulipa fine tu? or both? na hakimu amemchagulia 2 yrs? au ndiyo wanampeleka shelisheli kula raha kisha wamrudishe baada ya miaka miwili!

Zote ni option na hakimu kachagua hiyo moja. Au unadhani naye katumia vibaya ofisi. By the way issue nzima ni politics si unajua tena mwaka wa uchaguzi tudangenywe tumemfunga Liyumba, kesi nyingine ziko mahakamani na ujinga kama huo. In reality ni ujinga, ujinga, ujinga.....Hii nchi jamani. Pale inapotumika mahakama kujustify ujinga wa kisiasa inaudhi kabisa.

Kama ni kweli CCJ wanahitaji kuondoa kinga ya viongozi washitakiwe na iwe hivyo waipiganie ili wote tuwe chini ya sheria. Hili naliunga mkono na wote wajibu waliyoyafanya katika maofisi yao
 
inatosha hadi wakati huo wabababe wa jela watakuwa wameambulia maana K ya mkurugezi bilionea lazima igombewe wababe wa jela kazi kwenu mungu awape nini

Umeniacha hoi! lakini nadhani atatenganishwa na hao, wewe na mimi tutajuaje?
 
Duh ana bahati kweli....kesi ilivyoanza ungeweza kudhani atafungwa kuanzia miaka kumi na kuendelea!

Hapo Singida kuna kijana alimkaba mama na kukwapua simu ya kichina yenye thamani ya elfu 25,000 kapigwa mvua 30 jela.
 
Kwa madhambi haya na hujuma wanaifanya kwa wananchi hivi kweli wataachia nchi? nani kasema? Wanajua fika kwamba wengine wakishika basi watafute pa kwenda!
 
Acha tule bata huku ughaibuni Tanzania wizi mtupu,haiwezekani billioni 221 achague either miaka miwili au fine,hata kama ni muathirika hasara aliyoingiza ni kubwa mno,one lawyer(state attorney) in Liyumbas case told me kuwa kesi ya liyumba ni maigizo, sasa nimeamini!
 
Zote ni option na hakimu kachagua hiyo moja. Au unadhani naye katumia vibaya ofisi. By the way issue nzima ni politics si unajua tena mwaka wa uchaguzi tudangenywe tumemfunga Liyumba, kesi nyingine ziko mahakamani na ujinga kama huo. In reality ni ujinga, ujinga, ujinga.....Hii nchi jamani. Pale inapotumika mahakama kujustify ujinga wa kisiasa inaudhi kabisa.

Kama ni kweli CCJ wanahitaji kuondoa kinga ya viongozi washitakiwe na iwe hivyo waipiganie ili wote tuwe chini ya sheria. Hili naliunga mkono na wote wajibu waliyoyafanya katika maofisi yao

Kama ndio hivyo basi kesi za trafiki tungeenda jela wote. Kama kifungu cha adhabu kinatanguliza faini na kifungo baadaye ni vyema wakati wa kuhukumu hakimu aanze kama ambavyo watunga sheria wamesema.

Kama bunge lingeona kosa hilo ni kubwa kustahili kifungo basi wasingeweka faini wangetanguliza kifungo tu moja kwa moja. Ndo maana awali nilisema mushkeli upo katika adhabu aliyopewa mshtakiwa na inaweza kuwa sababu kupewa dhamana wakati anasubiri rufaa yake kusikilizwa.
 
Back
Top Bottom