Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Kule mtaa wa pili(Michuzi) kuna habari kuwa Liumba amepatikana na hatia na kuhukumiwa miaka 2 jela kwa matumizi mabaya ya ofisi. Wadau hii nayo imekaaje?
Kule mtaa wa pili(Michuzi) kuna habari kuwa Liumba amepatikana na hatia na kuhukumiwa miaka 2 jela kwa matumizi mabaya ya ofisi. Wadau hii nayo imekaaje?
Habari nilizozipata sasa hivi liyumba kutumikia miaka 2 kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma
Habari nilizozipata sasa hivi liyumba kutumikia miaka 2 kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma
Habari nilizozipata sasa hivi liyumba kutumikia miaka 2 kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma
ni kweli ameonewa, na atakata rufaa, na itasikilizwa baada ya miaka 3 mingine, maana amepewa siku 90 za kukata rufaa, mjibu rufaa naye anapewa siku 90 za kujibu rufaa. Msajili anazo ziku 90 kuipangia siku ya kuisikiliza, hakimu naye ana toa siku 90 za kujiridhisha. Halafu siku 90 za kufanya final submission na siku 90 za mwisho za kusoma hukumu!, jumla ni miaka 3!.pole liyumba, ila kata rufaa nadhani umeonewa tu
Habari nilizozipata sasa hivi liyumba kutumikia miaka 2 kwa matumizi mabaya ya ofisi ya umma
Dah! Hiyo kali.
Juzi kuna kijana mmoja mitaa ya Kawe alienda sero miaka mitatu kwa kosa la kuiba kuku watatu! Hapo ndipo huwa naipenda sheria za Tanzania. Tafsiri yake inategemea n'tu na n'tu.
Haya matumizi mabaya ya ofisi ni nini? Au alijinufaisha kwa kutumia ofisi!