Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Hiyo hoja No 5 nimeielewa sana. Nguvu kubwa ilitumika wakaingia. Ni kweli walikua hawachaguliki ila wakapitishwa
 
Bingu manayake nini we kisirani.
Mbona wewe huyo maiti anakunyima usingizi nawenzako mkisikia katajwa tu mnakurupuka kuzima jinalake.

Alikuwa mtu wa haki ndio mana wachumia tumbo mtakufa nakinyongo mkimkumbuka mbaka mnakataroho.
JPM mtu wa haki!!!!???
Utakuwa hujui maana ya haki wewe.
 
Darasa lasaba kushauri mwisho kijijini kwakehuyu anashauri jambo la kitaifa kwa akili gani!!!
Yaani alifeli KKK alafu Leo anatushauri watu na mashule yetu!! Jinga
 
Watanzania Katiba Mpya ni muhimu sana kabla watu aina ya samurai hawajayakwaa madaraka makubwa ya nchi huko mbeleni tena.

naomba nisiandike sana, ila ukifikiri kwa undani sana utagundua hizi nchi masikini huku dunia ya tatu kwa nini zinahitaji viongozi wanyama ili ziendelee....

Kuna minyororo lazima ivunjwe kuvuka hapa na kwenda mbele... kuivunja hiyo minyororo kunahitajika roho mbaya, ukatili na Unyama...

Kwa bahati mbaya tulio wengi ni mashabiki wa siasa na waumini wa maslahi binafsi hatuwezi kuona mambo mengi tunaishia kujitia upofu...
 
Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:

1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli

2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli

3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia

4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika

5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia

6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?

7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.

MY TAKE:

Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?

Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?

Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?

Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?

Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?

Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025

Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
View attachment 2003005
Yaani Nchi ikose amani kisa maiti imesemwa???


Pumbavu, dikteta atalaumiwa Hadi na vizazi vijavyo
 
Kwani asisemwe yeye ni Mungu,, wanamsema Nyerere sembuse yeye,, kila bidamu ana faida na hasara (mapungufu yamo tena mengi)
 
Hajathibitisha vipi kama ametunga uongo.. mimi nikisema mbowe ni dikteta na anatembea na baadhi ya wanawake wa chama chake utaamini vipi kama ni kweli? Rais anahusikaje na kuuza nguzo? Hivi ndivyo mnafunfishwa shule? Hata kujenga hoja na kuisimamia hamjui?
Unajua stori ukichukulia njiani kichwa kichwa itakupeleka ndugu yangu,huyo jamaa(Samurai) kadai Tanzania kuna PUMBAVU nyingi ambazo Magufuri alizikomesha kama hiyo ya nguzo na mengine,nikamwuliza je hizo pumbavu nyingi zilikuwa zinasimamiwa na wabunge wa upinzani? Hapo sikupata jibu,hoja yangu kwako huu wizi wa Tanzania umesababishwa na vyama vya upinzani?
 
Hayati Mwl. Julius K. Nyerere, muasisi na baba wa taifa hili anasemwa na kukosolewa na nchi na amani vipo, atakuwa Mwendazake John P. Magufuli ambaye binafsi namuona kama hakuwa na mbele wala nyuma...?

Lusinde acha utani wa kijinga bwana...!

Na sijui inakuwaje mnaogopa saaaana kusemwa kwa kukosolewa....

Mnapokosolewa, dawa siyo kujibu kwa kumwaga povu kama ufanyavyo wewe Lusinde au kujibu kwa bunduki na risasi, bali ni kukaa chini, mkajichunguza ili kuona mlipoangukia na kisha mkarudi nyuma na kuanza kujirekebisha....

Tunawakikishia kuwa nyie hamna nguvu yoyote. Nyie siyo wenye nchi. Wenye nchi ni sisi wananchi. Vyama vya siasa na serikali huja na kupita lakini nchi na wenye nchi huwako na kudumu siku zote na wao ndiyo huamua mchezo...!
Hapa ndio naona kuna umuhimu wa kina Heche/Mnyika kurudi bungeni kwani mabilioni ya fedha za walipa kodi zinapotea kwa wabunge aina ya Livingston
 
U
Watu wanataka kutembelea mgongo wa JPM.
JPM was the man himself, jeshi la mtu mmoja from nowhere akaamua tu kukomesha pumbavu

Sijaona bado kwenye mifumo na siasa mwenye kufanana na JPM labda mtaani huku wapo na system inawakataaa tu...

Binafsi siku nikipata nafasi ya kuongoza hii nchi nitakuwa mtemi, katili na mnyama zaidi ya JPM, JPM bado alikuwa na huruma sana, binafsi hata hiyo huruma sitokuwa nayo...PUMBAVU ndio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii....

Jitu linahujumu miundombinu watu wakose umeme lenyewe lipate hela, Nguzo za umeme from TZ zinakwenda tunduma zinageuza zinapigwa nembo tunaambiwa zimetoka SA...Hivi ukiwa Rais unafanyaje dhidi ya hizi pumbavu kama sio kutoa roho na kuzipoteza kabisa na wengine wajifunze...
Uyo muhutu katuachia deni kubwa bila sababu
 
wapo waliofanyiwa mabaya kwa wao kutenda maovu kwa watanzania, katika harakati hizi kuna watu lazima waumie kwa kufuata mkumbo na wengine hata kufa.... Akiwa kama kiongozi wa dola masikini lililojaa wanyonyaji hilo haliepukiki..... Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo mimi na wewe tunayo, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe katika hayo..
Yaani la kuuwa watu halisameheki hata kama angefanya nn
 
Kwahiyo anataka hao watu wafanywaje wanaomsema vibaya Magufuli? Tatizo anasahau kuwa watu wanamsema vibaya sio kwa kumchukia yeye kama yeye Magufuli Ila matendo yake maovu aliyoyatenda. Na ajue nao wanatumia haki yao kama yeye alivyotumia ya kwake.
Mbona kikwete alisemwa vibaya na bado katulia tuu sijakuona mwana ccm yyt akimtetea
 
Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:

1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli

2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli

3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia

4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika

5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia

6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?

7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.

MY TAKE:

Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?

Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?

Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?

Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?

Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?

Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025

Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.

Pia, soma:

View attachment 2003005
Sisi tuna amani Wewe Lusinde kama huna Amani ni matatizo yako Binafsi
 
Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:

1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli

2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli

3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia

4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika

5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia

6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?

7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.

MY TAKE:

Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?

Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?

Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?

Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?

Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?

Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025

Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.

Pia, soma:

View attachment 2003005
Huyu mzee porojo na Pumba ndio huwa zinamfikisha bungeni.
 
Back
Top Bottom