Ati kalamagandaKalamaganda kabugi ana elimu gani?
Hivi Nagufuli ni nani asisenwe? Alisemwa Yesu itakuwa huyu muuaji?Hapo ishu ni kumsema vibaya Magufuli?
JPM mtu wa haki!!!!???Bingu manayake nini we kisirani.
Mbona wewe huyo maiti anakunyima usingizi nawenzako mkisikia katajwa tu mnakurupuka kuzima jinalake.
Alikuwa mtu wa haki ndio mana wachumia tumbo mtakufa nakinyongo mkimkumbuka mbaka mnakataroho.
Watanzania Katiba Mpya ni muhimu sana kabla watu aina ya samurai hawajayakwaa madaraka makubwa ya nchi huko mbeleni tena.
Utachagua chizi kama huyo ukiwa na akili timamu?mkuu hii statement umeiandika kwa uhakika sana.
Tena anaitwa MheDarasa lasaba kushauri mwisho kijijini kwakehuyu anashauri jambo la kitaifa kwa akili gani!!!
Yaani alifeli KKK alafu Leo anatushauri watu na mashule yetu!! Jinga
Mambo ya bao la mkono sio?Naunga mkono.
95% ya wabunge wa kuchaguliwa walibebwa na Magufuli walikuwa hawachaguliki mfano Mwana FA na Mbeya mjini!
Yaani Nchi ikose amani kisa maiti imesemwa???Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:
1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli
2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli
3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia
4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika
5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia
6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?
7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.
MY TAKE:
Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?
Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?
Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?
Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?
Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?
Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025
Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
View attachment 2003005
Kwamba kuna wabunge wameshauri fedha alizokopa Magufuli kwa miaka mitano kiasi cha Til 20 zichunguzwe. Ndo anatoka povu hataki zichunguzwe.Hapo ishu ni kumsema vibaya Magufuli?
Unajua stori ukichukulia njiani kichwa kichwa itakupeleka ndugu yangu,huyo jamaa(Samurai) kadai Tanzania kuna PUMBAVU nyingi ambazo Magufuri alizikomesha kama hiyo ya nguzo na mengine,nikamwuliza je hizo pumbavu nyingi zilikuwa zinasimamiwa na wabunge wa upinzani? Hapo sikupata jibu,hoja yangu kwako huu wizi wa Tanzania umesababishwa na vyama vya upinzani?Hajathibitisha vipi kama ametunga uongo.. mimi nikisema mbowe ni dikteta na anatembea na baadhi ya wanawake wa chama chake utaamini vipi kama ni kweli? Rais anahusikaje na kuuza nguzo? Hivi ndivyo mnafunfishwa shule? Hata kujenga hoja na kuisimamia hamjui?
Hapa ndio naona kuna umuhimu wa kina Heche/Mnyika kurudi bungeni kwani mabilioni ya fedha za walipa kodi zinapotea kwa wabunge aina ya LivingstonHayati Mwl. Julius K. Nyerere, muasisi na baba wa taifa hili anasemwa na kukosolewa na nchi na amani vipo, atakuwa Mwendazake John P. Magufuli ambaye binafsi namuona kama hakuwa na mbele wala nyuma...?
Lusinde acha utani wa kijinga bwana...!
Na sijui inakuwaje mnaogopa saaaana kusemwa kwa kukosolewa....
Mnapokosolewa, dawa siyo kujibu kwa kumwaga povu kama ufanyavyo wewe Lusinde au kujibu kwa bunduki na risasi, bali ni kukaa chini, mkajichunguza ili kuona mlipoangukia na kisha mkarudi nyuma na kuanza kujirekebisha....
Tunawakikishia kuwa nyie hamna nguvu yoyote. Nyie siyo wenye nchi. Wenye nchi ni sisi wananchi. Vyama vya siasa na serikali huja na kupita lakini nchi na wenye nchi huwako na kudumu siku zote na wao ndiyo huamua mchezo...!
Uyo muhutu katuachia deni kubwa bila sababuWatu wanataka kutembelea mgongo wa JPM.
JPM was the man himself, jeshi la mtu mmoja from nowhere akaamua tu kukomesha pumbavu
Sijaona bado kwenye mifumo na siasa mwenye kufanana na JPM labda mtaani huku wapo na system inawakataaa tu...
Binafsi siku nikipata nafasi ya kuongoza hii nchi nitakuwa mtemi, katili na mnyama zaidi ya JPM, JPM bado alikuwa na huruma sana, binafsi hata hiyo huruma sitokuwa nayo...PUMBAVU ndio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii....
Jitu linahujumu miundombinu watu wakose umeme lenyewe lipate hela, Nguzo za umeme from TZ zinakwenda tunduma zinageuza zinapigwa nembo tunaambiwa zimetoka SA...Hivi ukiwa Rais unafanyaje dhidi ya hizi pumbavu kama sio kutoa roho na kuzipoteza kabisa na wengine wajifunze...
Yaani la kuuwa watu halisameheki hata kama angefanya nnwapo waliofanyiwa mabaya kwa wao kutenda maovu kwa watanzania, katika harakati hizi kuna watu lazima waumie kwa kufuata mkumbo na wengine hata kufa.... Akiwa kama kiongozi wa dola masikini lililojaa wanyonyaji hilo haliepukiki..... Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo mimi na wewe tunayo, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe katika hayo..
Mbona kikwete alisemwa vibaya na bado katulia tuu sijakuona mwana ccm yyt akimteteaKwahiyo anataka hao watu wafanywaje wanaomsema vibaya Magufuli? Tatizo anasahau kuwa watu wanamsema vibaya sio kwa kumchukia yeye kama yeye Magufuli Ila matendo yake maovu aliyoyatenda. Na ajue nao wanatumia haki yao kama yeye alivyotumia ya kwake.
Sisi tuna amani Wewe Lusinde kama huna Amani ni matatizo yako BinafsiMbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:
1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli
2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli
3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia
4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika
5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia
6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?
7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.
MY TAKE:
Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?
Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?
Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?
Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?
Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?
Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025
Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
Pia, soma:
View attachment 2003005Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba...www.jamiiforums.com
Huyu mzee porojo na Pumba ndio huwa zinamfikisha bungeni.Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:
1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli
2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli
3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia
4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika
5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia
6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?
7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.
MY TAKE:
Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?
Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?
Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?
Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?
Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?
Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025
Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
Pia, soma:
View attachment 2003005Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba...www.jamiiforums.com